Walimu bado wanawindwa kimakato kwenye Mishahara yao

Walimu bado wanawindwa kimakato kwenye Mishahara yao

balimar

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2015
Posts
7,743
Reaction score
13,657
Wadau Habari!!

Leo tulikuwa na kikao cha Maafisa Elimu Kata na Walimu wakuu kujadili Mambo mbalimbali ya kuboresha taaluma wilayani kwetu

Mwenyekiti wa CWT wilaya alipopewa nafasi ya kuongea alielezea swala la Bodi ya Kitaalamu ya walimu na sintofahamu ya Makato. Kitu kilichosikitisha ni yale ambayo Bodi hii mpya inataka kufanya kwa Walimu. Kiukweli serikali itusikie sisi walimu makato yanatosha jamani.

Uwelewa duni wa walimu kuhusu bodi (TPB) ndio mtaji wa wapigania Bodi. Teacher Profesional board sio trade union (cwt) na wala sio substitute ya trade union maana tunalo kato la kisheria na kanuni za CWT sasa inakuja Board ya Walimu ikiwa imebeba mitihani ya kila mwaka kwa mwalimu na malipo ya Leseni ambazo tozo zote zinataka mshahara duni wa mwalimu. Lakini hii bodi majukumu yake yanayoainishwa yapo na yanatekelezwa na TSC ambayo hatulipi chochote wala hatufanyi mitihani chechefu.

Lakini hilo likishindikana maana yake, Sheria ya TSC na kanuni zake zikapita zitatumika zote. Cwt kama Trade Union kwa sheria na kanuni zake, TSC na mambo yake na mwisho ni TPB na sheria zake na mitihani na ada na leseni zake za kila mwaka ambao ndio zigo lenyewe kwa Mwalimu ambapo Cwt wanahimiza wanachama waikatae kwa kutoa maoni yao kwani haina tija.

Serikali tunaomba hiyo Bodi bakini nayo sisi walimu tuboresheeni TSC makato ni mengi mshahara wenyewe njiwa huu

Nawasilisha
 
Hebu fafanua unaposema mitihani ya kila mwaka una maana gani?

Nachojua ili mtu apate leseni ya bodi fulan ya kitaaluma n lazma afanye mitihani ya bodi hyo na kufuzu baada ya hapo hakuna MITIHANI kulipa ada TU

Nieleweshe

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Serikali bana hapo hapo Mpaka hawa wavaa masharti ya msimamizi wa kituo wapate dawa

Na makato yawe juu zaidi Mpaka maji myaite mma
 
ilibidi walimu tykatwe mshahara nusu ili akili isogeleane.


tena walimu wa certificate na wale waliounga unga wana matatizo mengi sana
 
Wadau Habari!!

Leo tulikuwa na kikao cha Maafisa Elimu Kata na Walimu wakuu kujadili Mambo mbalimbali ya kuboresha taaluma wilayani kwetu

Mwenyekiti wa CWT wilaya alipopewa nafasi ya kuongea alielezea swala la Bodi ya Kitaalamu ya walimu na sintofahamu ya Makato. Kitu kilichosikitisha ni yale ambayo Bodi hii mpya inataka kufanya kwa Walimu. Kiukweli serikali itusikie sisi walimu makato yanatosha jamani.

Uwelewa duni wa walimu kuhusu bodi (TPB) ndio mtaji wa wapigania Bodi. Teacher Profesional board sio trade union (cwt) na wala sio substitute ya trade union maana tunalo kato la kisheria na kanuni za CWT sasa inakuja Board ya Walimu ikiwa imebeba mitihani ya kila mwaka kwa mwalimu na malipo ya Leseni ambazo tozo zote zinataka mshahara duni wa mwalimu. Lakini hii bodi majukumu yake yanayoainishwa yapo na yanatekelezwa na TSC ambayo hatulipi chochote wala hatufanyi mitihani chechefu.

Lakini hilo likishindikana maana yake, Sheria ya TSC na kanuni zake zikapita zitatumika zote. Cwt kama Trade Union kwa sheria na kanuni zake, TSC na mambo yake na mwisho ni TPB na sheria zake na mitihani na ada na leseni zake za kila mwaka ambao ndio zigo lenyewe kwa Mwalimu ambapo Cwt wanahimiza wanachama waikatae kwa kutoa maoni yao kwani haina tija.

Serikali tunaomba hiyo Bodi bakini nayo sisi walimu tuboresheeni TSC makato ni mengi mshahara wenyewe njiwa huu

Nawasilisha

Hawa cwt badala ya kupambana hili VRF ifutwe kabisa wenyewe wana deal na bod ya walimu kweli tutafika
 
Walimu na polisi ni hirizi za ccm
Kwa matusi haya kwa walimu na polisi. Baadaye wakati wa uchaguzi ndio mtegemee wawe fair kwenu. Never.
Msipojirekebisha na kauli zenu chafu juu ya wananchi. Mtasubiri sana kuchukua dola.
Yaani mpaka viongozi wa kitaifa wa chama wanadiriki kuwatusi polisi. Ni polisi kichaa tu ndio anaweza side na upinzani kwa matusi mnayowapa.
 
Kwa matusi haya kwa walimu na polisi. Baadaye wakati wa uchaguzi ndio mtegemee wawe fair kwenu. Never.
Msipojirekebisha na kauli zenu chafu juu ya wananchi. Mtasubiri sana kuchukua dola.
Yaani mpaka viongozi wa kitaifa wa chama wanadiriki kuwatusi polisi. Ni polisi kichaa tu ndio anaweza side na upinzani kwa matusi mnayowapa.
Polisi na walimu ni hirizi za ccm....
 
Back
Top Bottom