Pre GE2025 Walimu Dar kuanza kuvaa suti kwenye matukio

Pre GE2025 Walimu Dar kuanza kuvaa suti kwenye matukio

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610

Serikali ya Mkoa wa Dar es Salaam imeandaa mikakati kwa kila mwalimu wa shule ya sekondari kuvaa sare ya suti kwa ajili ya matukio mbalimbali.

Mkuu wa mkoa huo, Albert Chalamila amesema wameandaa baadhi ya sare za walimu zitakazotumika katika mikutano mbalimbali.

Amesema baada ya kukabidhiwa kitambaa cha suti, kila mwalimu atapewa shilingi elfu 80 taslimu.

"Shilingi elfu 50 itakuwa kwa ajili ya kiatu na elfu 30 kwa ajili ya mashono," amesema Chalamila
 
Hakuna unachokijua,hiyo ni rushwa kwa walimu kwa ajili ya uchaguzi. Au kwakuwa katumika RC tena bila kificho ndicho kinakufanya upofuke ubongo?
Sawa tunajua ni Kwa ajili ya kuwadanganya walimu. Lakini kàma wangepewa kitambaa Tu 😂 bila pesa yà kushonea walimu wengi Sana wasingeweza kushona suti, .hasa wanaume

Lakin serikali haipendezi kuwa walimu kama kituko, wakati Wao wenyewe wametokea huko
 
Back
Top Bottom