Pre GE2025 Walimu Dar kuanza kuvaa suti kwenye matukio

Pre GE2025 Walimu Dar kuanza kuvaa suti kwenye matukio

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Serikali ya Mkoa wa Dar es Salaam imeandaa mikakati kwa kila mwalimu wa shule ya sekondari kuvaa sare ya suti kwa ajili ya matukio mbalimbali.

Mkuu wa mkoa huo, Albert Chalamila amesema wameandaa baadhi ya sare za walimu zitakazotumika katika mikutano mbalimbali.

Amesema baada ya kukabidhiwa kitambaa cha suti, kila mwalimu atapewa shilingi elfu 80 taslimu.

"Shilingi elfu 50 itakuwa kwa ajili ya kiatu na elfu 30 kwa ajili ya mashono," amesema Chalamila
Dharau sana kwa hii kada ya Ualimu yaani unahongwa suti ukistaafu unakutana na kikokotoo . Walimu saidieni nchi kumtoa mkoloni CCM.
 

Serikali ya Mkoa wa Dar es Salaam imeandaa mikakati kwa kila mwalimu wa shule ya sekondari kuvaa sare ya suti kwa ajili ya matukio mbalimbali.

Mkuu wa mkoa huo, Albert Chalamila amesema wameandaa baadhi ya sare za walimu zitakazotumika katika mikutano mbalimbali.

Amesema baada ya kukabidhiwa kitambaa cha suti, kila mwalimu atapewa shilingi elfu 80 taslimu.

"Shilingi elfu 50 itakuwa kwa ajili ya kiatu na elfu 30 kwa ajili ya mashono," amesema Chalamila
Hizi ndio Akili za kiuwendawazimu.
Hivi huyo RC alishawaza kumuona mwalimu aliyevaa suti Dar akiwa amepigwa na vumbi, amelowa jasho, ana njaa, amening'inia kwenye mwendo kasi, anakanyaga mguu mpaka viatu viko upande, hajapiga nguo pasi maana hana pesa za kununua unit za umeme, hajaoga siku tatu kwa kuwa anapoishi maji ni shida tupu?
 
Suti inaheshima yake.kumiliki suti unatakiwa umiliki usafiri.sasa mwalimu umshonee suti aanze kutembea Kwa miguu barabarani na joto lote la Dar itakuwa kuwafedhehesha.itakuwa aibu kubwa sana kununuliwa suti na kuanza kubanana kwenye daladala labda wawanunulie suti za mitumba
 

Serikali ya Mkoa wa Dar es Salaam imeandaa mikakati kwa kila mwalimu wa shule ya sekondari kuvaa sare ya suti kwa ajili ya matukio mbalimbali.

Mkuu wa mkoa huo, Albert Chalamila amesema wameandaa baadhi ya sare za walimu zitakazotumika katika mikutano mbalimbali.

Amesema baada ya kukabidhiwa kitambaa cha suti, kila mwalimu atapewa shilingi elfu 80 taslimu.

"Shilingi elfu 50 itakuwa kwa ajili ya kiatu na elfu 30 kwa ajili ya mashono," amesema Chalamila
Inasaidia nini kwenye kiapto na maisha Yao? Nchi hii kila MTU ni mjinga, anawaza kinyumenyume, badala ya kuwawekea mifumo wakopeshwe Nyumba, au, kuwe na Nyumba za waalimu kama ilivyo kwa mawaziri, au, kiwango cha chini cha elimu kwa mwalimu wa msingi kiwe shahahda ya kwanza, kenge wa CCM wanafikiria kuvaa suti!suti huku una njaa, na unagombania daladala? Au, unatembea na biskeli
 

Serikali ya Mkoa wa Dar es Salaam imeandaa mikakati kwa kila mwalimu wa shule ya sekondari kuvaa sare ya suti kwa ajili ya matukio mbalimbali.

Mkuu wa mkoa huo, Albert Chalamila amesema wameandaa baadhi ya sare za walimu zitakazotumika katika mikutano mbalimbali.

Amesema baada ya kukabidhiwa kitambaa cha suti, kila mwalimu atapewa shilingi elfu 80 taslimu.

"Shilingi elfu 50 itakuwa kwa ajili ya kiatu na elfu 30 kwa ajili ya mashono," amesema Chalamila
Ualimu ni kundi linalochezewa kijinga jinga na wajinga kama Chalamila
 
Kasulu Kigoma,Mwalim Ndabaha na Mwalim Elia.πŸ‘‡

images (13).jpeg
 
Back
Top Bottom