Walimu eti net pay ya tgts g ni ngapi baada ya makato yote ya lazima?

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Walimu msaada kidogo hapa mwalimu anayepokea mshahara wa tgts g anaongezewa tsh ngapi toka daraja f ukitoa paye nhif cwt? Ile cash amount inayoingia kama hela kamili ni kiasi gani?
 
Najua mshahara wao ni 1630000/= ila hii inakatwa sana nataka kujua amount cash mkononi namdai hela yangu anasumbua sana kulipa
 
Ukipanda daraja F to G
Ni 380,000 inaongeka

2,116,500-1,630,000 range 485,000

Baada ya makato makato
 
Najua mshahara wao ni 1630000/= ila hii inakatwa sana nataka kujua amount cash mkononi namdai hela yangu anasumbua sana kulipa
Duh, kumbe mna mishahara mikubwa mnalalamika nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…