Walimu Iringa University waiba mitihani

Walimu Iringa University waiba mitihani

Chuo ambacho hakina hizo mambo ni SAUT.

Wee Mapovu, usiseme hivyo kabisa. Hiyo mambo ipo SAUT lakini tuseme haivumi sana, wanajitahidi kudhibiti mambo. Usiwasifie kwa asilimia 100. Kama hujui bora uulize
 
Last edited by a moderator:
Katika Vyuo ambavyo siviamini hata siku moja, IRINGA UNIVERSITY (TUMAINI) ni namba moja. Si walimu na wala si wanachuo wote machokoraa, mambo yanaendeshwa utadhani chekechea
 
Back
Top Bottom