Hatimaye walimu wote wa shule
ya sekondari lvuna ilioko kata ya
lvuna tarafa ya kamsamba wilaya
mpya ya MOMBA wamegoma
kuingia madarasani kuanzia leo tar
18.03.13 mpaka watakapo
tekelezewa madai yao sugu.
Madai hayo ni ukosefu wa
nyumba za kuishi ambapo tangu
shule hiyo ianzishwe mwaka 2007
hakuna nyumba iliyo kamilika japo
walimu hao wamekua wakiishi
kwenye magofu hayo.ambapo
gofu moja wanaishi walimu
watatu watatu kwa kila gofu jambo ambalo
husababisha adha kubwa kwa
walimu hao.
Aidha walimu wa kike
wamelazimika kuishi pamoja na
wanafunzi ktk jengo la Hostel.
Walimu hao wamelazimika kugoma mara baada ya kutelekezwa na uongozi wa kata hiyo kwa kukaidi wito.
ya sekondari lvuna ilioko kata ya
lvuna tarafa ya kamsamba wilaya
mpya ya MOMBA wamegoma
kuingia madarasani kuanzia leo tar
18.03.13 mpaka watakapo
tekelezewa madai yao sugu.
Madai hayo ni ukosefu wa
nyumba za kuishi ambapo tangu
shule hiyo ianzishwe mwaka 2007
hakuna nyumba iliyo kamilika japo
walimu hao wamekua wakiishi
kwenye magofu hayo.ambapo
gofu moja wanaishi walimu
watatu watatu kwa kila gofu jambo ambalo
husababisha adha kubwa kwa
walimu hao.
Aidha walimu wa kike
wamelazimika kuishi pamoja na
wanafunzi ktk jengo la Hostel.
Walimu hao wamelazimika kugoma mara baada ya kutelekezwa na uongozi wa kata hiyo kwa kukaidi wito.