Poor argument, stupid idea = MISHAHAWAHuna hoja ya msingi zaid ya kuonesha umahiri wako wa kukashfu taaluma ya ualimu!
waalim wa kagera si ndio wale waliwahi kuchapwa viboko na mkuu wa wilaya wakawa wanachekelea?wana matatizo wale,wengi wao wanatumia vyeti vya ndugu zao,hawana matumaini,wamekata tamaa,wanataman JKT wakale bure,usiwalaum.
Kwa taarifa yako hao walimu waliochapwa wanalipwa fidia ya 200ml kila mmoja! We kaa ukibeza walim wa kagera unadhan wapo km unavyofikir!
SIO MISHAHAWA ni mishahara
kaka post yangu nimeandika katika swali,na wala sijamtukana mwl mi mwenyewe mwl japo nafanya shughuli zangu,kitu nilicho uliza hapa nkama tuna uelewa,hasa baada ya walimu wenzetu kudai kwamba heti walimu ambao hawakupitia jkt hawana maadili na hawajui kazi hivyo walimu wapelekwe jkt,hivi inaingia akilini kweli badala yakudai mishahara watu wanadai wapelekwe jkt,hivi watu kama hawa nikisema hawana akili nimekosea? hembu tuache jaziba,tujadili je inaingia akilini? mbn sijasikia fani nyingine wakiomba kupelekwa jkt?.
1.umeniangusha sana mwl,kwa akili yako na uelewa wako uzalendo unafundisha JKT?hakika lazma uzalishe dv 5 km uelewa wako umekomea hapo.
2.chochote wanachokisema waisrael kwako kiko sahh?kweli fani ya ualim imevamiwa.
1. jkt watu hujifunza ukakamavu na utendaji. Ni mafunzo pekee ambayo yamelifanya 2.jeshi la tanzania kufanya kazi kwa uzalendo. 3.Watu hujifunza zaidi ya mazoezi. Wala mtu hazalishi dv5 kisa kataka kwenda jkt au katoa mawazo yake. La hasha. Ualimu ni zaidi ya Mshahara. Mwalimu wako angekuwa na tamaa hata hii post usingeweza andika. Alikuwa na uzalendo. Pole kwa fikra finyu.
kaka kinachomatter maisha,nawakumbuka walimu wangu wote baadhi wakijiita wakali wa mathe wengine sijui history but up to now nothing,tatizo watu tuna argue bila logic so hiyo jkt wakikupeleka itakusaidia nini? kama viongozi wenyewe hawana uzalendo we unasema uzalendo kidogo nina doubt uelewa wako,hivi hata we kwa uelewa wako mdogo sijui umehraduate lini,unaona ni bora serikali ikupeleke jkt kuliko kukulipa vizuri,nakumbuka wakati nipo university mwaka 20008,waziri ghasia aliwahi kuwaambia walimu hamkuona fani nyingine zaidi ya ualimu? hembu acheni kulopoka fikrieni ki logic,mi nilifikiri mgeanza kwa kuwashangaa hao walimu wa kagera,kipindi mnari kachapa walimu nilisikia kwa masikio yangu hapa mbeya baadhi walimu wakiomba aje awachape nao wapate zile million saba,so mtu akisema kwa lengo la kuwaamsha watu mnachukia?Unaidhalilisha taaluma yangu mkuu, eti walimu wajinga, bila hao walimu wewe ungeweza kuandika hicho ulichoandika?
Inasikitisha sana kuona watanzania wengi mnadharau walimu, na kushindwa kuthamin kaz yao.
Kwan mtu kutaka kwenda JKT kujifunza uzalendo ni ujinga???
Kwa hiyo from your point of view waisrael walotuletea idea ya national service nao ni wajinga?
Lastly, hebu angalia ulivyoandika halafu jiulize wewe na sisi walimu unaotuita wajinga, nani mjinga????
kaka kinachomatter maisha,nawakumbuka walimu wangu wote baadhi wakijiita wakali wa mathe wengine sijui history but up to now nothing,tatizo watu tuna argue bila logic so hiyo jkt wakikupeleka itakusaidia nini? kama viongozi wenyewe hawana uzalendo we unasema uzalendo kidogo nina doubt uelewa wako,hivi hata we kwa uelewa wako mdogo sijui umehraduate lini,unaona ni bora serikali ikupeleke jkt kuliko kukulipa vizuri,nakumbuka wakati nipo university mwaka 20008,waziri ghasia aliwahi kuwaambia walimu hamkuona fani nyingine zaidi ya ualimu? hembu acheni kulopoka fikrieni ki logic,mi nilifikiri mgeanza kwa kuwashangaa hao walimu wa kagera,kipindi mnari kachapa walimu nilisikia kwa masikio yangu hapa mbeya baadhi walimu wakiomba aje awachape nao wapate zile million saba,so mtu akisema kwa lengo la kuwaamsha watu mnachukia?
1.uzalendo unafundiswa wap kama jkt hujifunza ukakamavu na utendaji???
2.unaweza kulithibitisha hilo la wanajeshi kufanya kazi kwa uzalendo??
3.tofauti na mazoezi hujifunza nini tena,kieleze na uonyeshe kua ni cha kizalendo na uonyeshe mafunzo hayo tofauti na mazoezi yamelet mchango gan kwa wahitim wa jkt mmoja mmoja na kwa jamii kwa ujumla
4.ukinijib hayo ntajua kweli ww ni mwl na sio mbakaji wa fani na mdandiaji wa hoja na pia hutumii hisia
Ndio maana nasema fani ya ualim imebakwa na makanjanja,kama ww ni mwl akili yako haiko sawa,kitendo cha wao kuchapwa hata kama walilipwa wewe kwako unaona sawa.?
Kwa hyo wewe hata ukifanyiwa kitendo gan,mathlan kuvuliwa nguo,kushkwashkwa au hata kuliwa ni sawa kama mwisho wa siku utalipwa.
Ndio maana vijana weng wa siku hz mnapenda ushoga,mnaliwa maana mnajua mtalipwa.
Nimeanza kuamini msemo wa rafiki yangu kuwa mtu anayesomea Ualimu anatakiwa awe na wito kweli. Leo asubuhi nafungua TV nakutana na habari eti walimu Kagera wanaomba serikali iwapeleke JKT walimu wote ambao hawakupitia huko kisa eti utendaji wao wakazi si mzuri.
Kwanza nilicheka, Watu badala ya kudai nyongeza ya mshahara, watu wanapewa mshahara wako kama posho, we unaona serikali ikupeleke JKT, kwa mtaji huu hata serikali ikiwalipa laki mbili mtafanya kazi.
Nakubal si kila anaepita jkt hutoka akiwa mzalendo, lakin ukweli unabaki palepale kwamba lengo la jkt ni kuwafunza vijana uzalendo.
Umemnukuu wazir ghasia akiwambia walimu eti hawakuona fan nyingine, na umesupport hiyo statement, hivi kama hao walimu wangeona fani nyingine leo hii wewe ungekuwa hapo ulipo?
Unanishangaza sana unapodharau walimu, eti mwalimu wako wa math up to now has nothing, lakini umesahau kwamba you have something because of him/her, yaan umeshindwa hata kuona sacrifice aloifanya, he/she has nothing but you have something, mwisho wa siku unamuita mjinga,
Wahenga walisema "Mfadhili mbuzi binadamu ata............?
mkuu ni sidharau ualimu bali nadharau sisi tunaosomea ualimu,hivi unajua walimu wakiamua walipwe hata million kwa undergraduate inawezekana? lakini nimeshuhudia migomo mingi inayoitishwa na tucta haifanyi kazi,walimu wanaamkia kazini kisa heti watafukuzwa kazi,kiongozi mi ni mwl,nafikiri kuichukia hii kszi ndo kumefanaya nifike hapa nilpo,nisinge ichukia wala nisingeweza kumiliki hizi kampuni nilizo nazo,hata we ngoja nikuambie ukiichukia hii fan kutokana na nature yake siku utarudi humu kunishukuru.
mkuu ni sidharau ualimu bali nadharau sisi tunaosomea ualimu,hivi unajua walimu wakiamua walipwe hata million kwa undergraduate inawezekana? lakini nimeshuhudia migomo mingi inayoitishwa na tucta haifanyi kazi,walimu wanaamkia kazini kisa heti watafukuzwa kazi,kiongozi mi ni mwl,nafikiri kuichukia hii kszi ndo kumefanaya nifike hapa nilpo,nisinge ichukia wala nisingeweza kumiliki hizi kampuni nilizo nazo,hata we ngoja nikuambie ukiichukia hii fan kutokana na nature yake siku utarudi humu kunishukuru.
Tunatofautoana mkuu mimi siichukii hii kazi na siwezi ichukia kamwe, daima ninaamin usemi usemao
"To be of use in the world is the only way to happyness"
Kaz kama ualimu ni kazi ambayo hutakiwi kuweka maslahi mbele. Ndo maana wanasema ualimu ni wito.
wanafunzi wana haki ya kufundishwa ila we huna haki ya kulipwa vizuri,hapa kazi ipo.huyu jamaa yupo kwa Maslahi binafsi. Katika kudai jambo la wengi mara nyingi chama ndo kiwe na nguvu. Ukishindwa kushawishi chama mwenyewe huwezi kuwa mgumu. Pia wanafunzi wana haki ya kufundishwa siku zote. Acha USENGENYAJI.