Walimu Kagera waomba kupelekwa JKT


mbona povu linakutoka bure? una hakika kwamba kuna mwalimu mpya wa shule ya msingi anayelipwa zaidi ya Tsh 300000? mkuu, acha kutetea ujinga wa kimagamba.
 

msipotoshe maana. mtoa mada hakumaanisha UJINGA wa KIELIMU wa walimu bali alimaanisha UJINGA wa walimu kutotumia elimu yao kujikomboa KIFIKRA, KIUFAHAMU na KIUCHUMI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…