Walimu kaza boot

Walimu kaza boot

princelaus

Member
Joined
Jul 31, 2012
Posts
13
Reaction score
4
Kila mgomo unaotangazwa kwa maslahi ya watumishi au kundi fulani ktk jamii siku zote serikali hii hutoa tamko kuwa si halali kisheria japo lengo la mgomo ni halali. Nashindwa kuelewa uhalali wa aina gani unaohitajika ili haki ipatikane. Walimu komaa hadi kieleweke japo kwa % fulani. tuko pamoja.

RGDS;
Prince'laus
 
Back
Top Bottom