Kuna tetesi kuwa serikali imetoa tamko kuwa wanafunzi wanotaka kusomea ualimu serikali itawasomesha bure ikiwa watakuwa wamefahulu kuanzia daraja la 1-3. Je kuna anayejua hili vizuri?
Samahani wadau wa elimu,mimi natoka nje kidogo ya topic. Naomba kuuliza ada ya mafunzo ya diploma ya ualimu kwa mwaka ni shilingi ngapi kwa vyuo vya serikali?
Samahani wadau wa elimu,mimi natoka nje kidogo ya topic. Naomba kuuliza ada ya mafunzo ya diploma ya ualimu kwa mwaka ni shilingi ngapi kwa vyuo vya serikali?
Walimu wa masomo ya sayansi wenye div 1 watasomeshwa bure kwa wale wa masomo ya sayansi wenye div 2 watapewa mikopo ya kusoma watarudisha baadae ila wa sayansi wenye div 3 watajilipia wenyewe. Div 4 matatani hawaeleweki vizuri tz ya leo