Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo nnacho hapa kwenye gari natype[emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji1][emoji1]Mwanajeshi/Polisi utamjua kwa sare zake.
Vivo hivyo Mwalimu utamtambua kwa kishkwambi chake. Yani hata awe na bag mgongoni kishkwambi lazima ashike mkononi.
chochoro za ulajiSijaelewa mbona naona walimu wengi mtaani wanavitumia isije kua kuna kikundi cha wahuni wanataka wapewe semina ili wapige hela na huyo Mama tatizo hana machale nchi italiwa hii sana.
Sasa kishikwambi chake ,begi lake, aliyebeba ni yeye ,mgongo wa kwake!! Tatizo nn!?? Hivi wazeee hamna kazi au!!Mwanajeshi/Polisi utamjua kwa sare zake.
Vivo hivyo Mwalimu utamtambua kwa kishkwambi chake. Yani hata awe na bag mgongoni kishkwambi lazima ashike mkononi.
Sio kweli kama walimu wanahitaji seminar. Kuna wahuni watapata perdiem na safari. Wanatumia ububu walionao walimu hawana wakuwasemea.Walimu moja ya maombi yao ni kufunindishwa kutumia kishkwambi, mama Samia yeye ndio akakubali hayo maombi yao
Walimu kwa nini huwa mnapanic sana?Sasa kishikwambi chake ,begi lake, aliyebeba ni yeye ,mgongo wa kwake!! Tatizo nn!?? Hivi wazeee hamna kazi au!!
Sio kubet tu. Pia TATU MZUKA. BUKU NIBUKUE.Serikali imewaongezea shida nyingine.
Wengi wanavitumia kubet. Pia ni mzigo kuvibeba maana wakiwa njiani wanatembea utadhani wamebeba bunduki(bega moja limeshuka).
reyzzap njoo huku tafadhali!!! Ha hahaa eti bega limeshuka!Serikali imewaongezea shida nyingine.
Wengi wanavitumia kubet. Pia ni mzigo kuvibeba maana wakiwa njiani wanatembea utadhani wamebeba bunduki(bega moja limeshuka).
Hapo watakaokula hizo posho hata sio walimu., Labda wakuu wa shule na maafisa. Walimu watapewa tu mrejesho juu kwa juu.Acha walimu wakale posho
Sawa hivi Kwa akili ya kawaida walimu hawawezi kutumia smartphone?? Ninacho amini kama waliombwa wafundishwe ni kwenye mambo ya kitaalamu zaidi sio kwenye matumizi ya kawaida.Sio kweli, maombi ya walimu ilikua ni kufundishwa kutumia vishkwambi. Wakati maombi yakitolewa mbona ilikua live na hata raisi alipokubali maombi mbona ni live?
Alafu walimu mnapaswa muelewe kishwambi ni smartphone tu Kama zilivyo smartphone zote, utofauti yenyewe Ina screen kubwa tu.
Mambo ya kitaalamu mfano yapi? Tutolee tu mfanoSawa hivi Kwa akili ya kawaida walimu hawawezi kutumia smartphone?? Ninacho amini kama waliombwa wafundishwe ni kwenye mambo ya kitaalamu zaidi sio kwenye matumizi ya kawaida.
Hii sio Id ya wifi yetu kweli? Kapiga uturn?Ndo nnacho hapa kwenye gari natype[emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji1][emoji1]