Ok9
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 4,549
- 4,133
mimi ni mwalimu wa shule ya msingi...na nina hitaj kwenda kusoma kabla huu mpango wao wa ku upgrade walimu haujafika.
niamze safari ya kusoma huku nikiwa kazini.
kuna njia ya kuongezea credits then uende 5&6 for 1 year mambo yakiwa mazuri uende degree.
.
pia kuna uwezekano wa kwenda dip ya kitu kingine ukawa na ruhusa kazini huku upo shuleni.
hapa naomben mchango wenu njia ipi nzuri ya kupita ili tufanikishr haya maisha. na pia kusaidia wengne walokata tamaa
niamze safari ya kusoma huku nikiwa kazini.
kuna njia ya kuongezea credits then uende 5&6 for 1 year mambo yakiwa mazuri uende degree.
.
pia kuna uwezekano wa kwenda dip ya kitu kingine ukawa na ruhusa kazini huku upo shuleni.
hapa naomben mchango wenu njia ipi nzuri ya kupita ili tufanikishr haya maisha. na pia kusaidia wengne walokata tamaa