Tetesi: Walimu Msingi ajira za July 2018

Uvundo80

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2017
Posts
280
Reaction score
255
Habari wanajamvi....kuna yeyote Mwenye ufahamu kuhusu walimu walioajiriwa mwezi June / July wa Shule za msingi mwaka huu 2018 kuwa hawajaingizwa kwenye mfumo wa ulipwaji mishahara (Payroll) ...Na mpaka Leo hawajapata mishahara?


Mwenye uhakika wa hili please!
 
Wa afya hadi leo hawajapata hata mia si ya kujikimu wala mshahara yaani ni shida tu
 
He mpaka huku unaperuz upo kijiji gani mkuu
 
Wa afya hadi leo hawajapata hata mia si ya kujikimu wala mshahara yaani ni shida tu
Sasa wanavyotangazaga ajira Kwa mbwembwe na kutishia vijana kuripoti Kwa wakati na kusema pesa zipo ...kumbe ni changa La macho?
 
Jamaa wanazingua sana,mimi siwezi kwenda kuanza kufanya kazi mpaka nihakikishe mshahara umesoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…