Kikwava
JF-Expert Member
- Sep 6, 2015
- 1,741
- 1,068
Utangulizi
Tunajua kwasasa walimu mnajiendeleza kimasomo, huko mashuleni kuna Masters na PhD chache jueni kuwa serikali yetu nisikivu ipo siku utawekwa muundo wa kiutumishi kwenye hizo Masters na PhD.
Niwaase walimu usikae kota zaidi ya miaka 5, jibane ukope mkopo bank usiogope kusemwa unamikopo mingi, kopa Jenga nyumba yako kabla hujaanza kubanwa na majukum yakusomesha watoto.
Huwa ni aibu kuona mwalimu mstaafu baada ya kustaafu anaandika barua ya kuomba kuendelea kuishi kwenye nyumba za serikali ni aibu mno.
Hii ni kuelimishana kwa manufaa ya Watumishi wote
Tunajua kwasasa walimu mnajiendeleza kimasomo, huko mashuleni kuna Masters na PhD chache jueni kuwa serikali yetu nisikivu ipo siku utawekwa muundo wa kiutumishi kwenye hizo Masters na PhD.
Niwaase walimu usikae kota zaidi ya miaka 5, jibane ukope mkopo bank usiogope kusemwa unamikopo mingi, kopa Jenga nyumba yako kabla hujaanza kubanwa na majukum yakusomesha watoto.
Huwa ni aibu kuona mwalimu mstaafu baada ya kustaafu anaandika barua ya kuomba kuendelea kuishi kwenye nyumba za serikali ni aibu mno.
Hii ni kuelimishana kwa manufaa ya Watumishi wote