Walimu musipumbazwe na kota jengeni nyumba zenu binafisi kuna kustaafu

Walimu musipumbazwe na kota jengeni nyumba zenu binafisi kuna kustaafu

Acha uongo shule nying saiv hazina kota, walim wanajenga sana tu saiv mbona
 
Siku hizi hakuna nyumba za walimu mashuleni bwn,usipotoshe umma.walimu wengi wana nyumba zao na wengine wamepanga.hili la kujiendeleza kielimu umeshauri vema
Hakuna nyumba za walimu kwenye maeneo yako Ila huku niliko kuna nyumba za walimu
 
Utangulizi
Tunajua kwasasa walimu mnajiendeleza kimasomo, huko mashuleni kuna Masters na PhD chache jueni kuwa serikali yetu nisikivu ipo siku utawekwa muundo wa kiutumishi kwenye hizo Masters na PhD.

Niwaase walimu usikae kota zaidi ya miaka 5, jibane ukope mkopo bank usiogope kusemwa unamikopo mingi, kopa Jenga nyumba yako kabla hujaanza kubanwa na majukum yakusomesha watoto.

Huwa ni aibu kuona mwalimu mstaafu baada ya kustaafu anaandika barua ya kuomba kuendelea kuishi kwenye nyumba za serikali ni aibu mno.

Hii ni kuelimishana kwa manufaa ya Watumishi wote
Hizo kota ziko shule gani ndugu?
 
Hizo kada zngne zinakaa nyumbn kwao , haka kamaa unawez kuta ni kama mwl sasa kamejenga au kamenyimwa kota sasa kanaleta wivu
 
Hizo kada zngne zinakaa nyumbn kwao , haka kamaa unawez kuta ni kama mwl sasa kamejenga au kamenyimwa kota sasa kanaleta wivu
Wewe huwa unakuwa na wivu kwenye vitu vya serikali? Basi hunaakili
 
Askari ,wanajeshi msiwaseme walimu tu

Kwa wale wa Arusha pale azimio la Arusha walikua wanakaa wanajeshi daaah zile zilikua sio nyumba ni vibanda vya mbao na mapagale
 
Unapouliza swali Jiulize kwanza ww ndo uulize wengine, mbona unauliza swali Kama mtoto mdogo, kwahyo hakuna shule zenye nyumba za walimu au hujui maana ya kota? Hebu ondoa ujinga wako hapa
Hongera kwa mawazo yako kwenye comment hii mkuu!
 
Back
Top Bottom