VINICIOUS JR
JF-Expert Member
- Dec 29, 2022
- 208
- 518
kwema wakuu, kama mada inavojielza mwenye pdf naomba aweke hapa ili tujue tmepata ngap ingawa kwenye account nishakuta NOT SELECTED
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
asante mkuu, paper lilikua open kabisa nashangaa nakuta not selected mwenye pdf aweke hapa walau tujue tmepata ngapPole sana
Pole sana Vinikwema wakuu, kama mada inavojielza mwenye pdf naomba aweke hapa ili tujue tmepata ngap ingawa kwenye account nishakuta NOT SELECTED
asant sana, yan hapa roho inaniuma kwa sababu naona paper lilikua open af nakuta NOT SELECTED dah naumia tu pekeangu mana siwez waambia watu wa mtaan watanichka wataniambia ni kilaza ila inauma had inauma tena.. Ukizingatia huku mtaan jua linavowaka dah sema tutafka tu.Pole sana Vini
Ila tafadhali usijinyongeasant sana, yan hapa roho inaniuma kwa sababu naona paper lilikua open af nakuta NOT SELECTED dah naumia tu pekeangu mana siwez waambia watu wa mtaan watanichka wataniambia ni kilaza ila inauma had inauma tena.. Ukizingatia huku mtaan jua linavowaka dah sema tutafka tu.
kaka heri hata nijinyonge nikapumzike hizi hekahka za maisha ya ujobless inauma sana.Ila tafadhali usijinyonge
Wengi tumepitia huko kijana, Usail ni jambo la kawaida kabisa.. Usijpe stress kiasi hicho.. 🤝🤝🤝kaka heri hata nijinyonge nikapumzike hizi hekahka za maisha ya ujobless inauma sana.
dahHata sisi pia tulikandwa kisawasawa na utumishi, 😁😁😁, ndo tukafika nchi ya ahadi..
kaka nimepata 72 mwisho wamebeba 80Pole sana Mkuu
Piga Moyo konde kaka, ata usangalie umepata ngapi maana utazidi kuumia tuu pale unapo ona cutting point ilikuwa 70 alafu wewe umepata 68, what a such pain
Pole mkuukwema wakuu, kama mada inavojielza mwenye pdf naomba aweke hapa ili tujue tmepata ngap ingawa kwenye account nishakuta NOT SELECTED
Hongerakaka nimepata 72 mwisho wamebeba 80
Yatamkuta professor Mkenda hayo kwenye kuraPole sana Mkuu
Piga Moyo konde kaka, ata usangalie umepata ngapi maana utazidi kuumia tuu pale unapo ona cutting point ilikuwa 70 alafu wewe umepata 68, what a such pain
Usifike hukokaka heri hata nijinyonge nikapumzike hizi hekahka za maisha ya ujobless inauma sana.
Umeona sasa Mkuu nilikuambia just leave itkaka nimepata 72 mwisho wamebeba 80