Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
salamu wakubwa!!!
aiseee,, walimu ni walezi wetu kwa upande mmoja ama mwingine, lakini wakati mwingine wanaboa kwa kauli zao!
hebu tujikumbushe kidogo kauli za walimu wetu (ziwe njema ama mbaya!)
1.hata nikeshe nafundisha, wengine hawatoki na lolote!!
2. hata msipoelewa, mshahara wangu uko pale pale!!
3. bichwa lako kubwa lio kwa ajili ya kutenganisha masikio yako!!
4. wengine hapa wapo kwa ajili ya kukua!
5. ulivyo wewe ndivyo kulivyo kwenu! (naona kama kuna ukweli ndani yake!!!!)
6. ulikuja peke yako, utaondoka peke yako! ( maarufu sana wakati wa sp)..
....... ongezea kali nyingine!!
aiseee,, walimu ni walezi wetu kwa upande mmoja ama mwingine, lakini wakati mwingine wanaboa kwa kauli zao!
hebu tujikumbushe kidogo kauli za walimu wetu (ziwe njema ama mbaya!)
1.hata nikeshe nafundisha, wengine hawatoki na lolote!!
2. hata msipoelewa, mshahara wangu uko pale pale!!
3. bichwa lako kubwa lio kwa ajili ya kutenganisha masikio yako!!
4. wengine hapa wapo kwa ajili ya kukua!
5. ulivyo wewe ndivyo kulivyo kwenu! (naona kama kuna ukweli ndani yake!!!!)
6. ulikuja peke yako, utaondoka peke yako! ( maarufu sana wakati wa sp)..
....... ongezea kali nyingine!!