Lomunyaki Leteiva
Member
- Mar 7, 2014
- 47
- 6
Utakuta uandishi wa jumbe umebadilika sana. Mfano xaxa akimaanisha sasa. Wa2 akimaanisha watu. Hivi uandishi huu unakuza lugha katika uandishi? Nisaidieni hiyo Elimu ya uandishi huu vijana wa umepata shule gani? Kazi Kwenu wachambuzi.