Nilianza kazi mwaka2008,2011 nikaenda kusoma na ruhusa nilinyimwa nikatoroka kwenda Masomoni na mshahara ulikatwa.Nimeripoti jana kwa DEO akadai nikaandike barua na isainiwe na Mkuu.Nikaenda kwa watu wa mishahara wakadai nimefutwa kwe Payroll.Utumishi wakadai niende kwa mkurugenzi na nikafika ila mazungumzo tuliyafanya na DEO na muafaka ni kuandika Barua niliopewa kua nimerudi.Je waalimu wenzangu nitarudishwa kwe Payroll au nitafukuzwa kabisa?au itakuaje wapendwa waaalimu!
Itachukua muda gani labda wapendwa