BUMIJA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 5,950
- 11,295
Nilianza kazi mwaka 2008, 2011 nikaenda kusoma na ruhusa nilinyimwa nikatoroka kwenda Masomoni na mshahara ulikatwa.
Nimeripoti jana kwa DEO akadai nikaandike barua na isainiwe na Mkuu. Nikaenda kwa watu wa mishahara wakadai nimefutwa kwe Payroll.U
tumishi wakadai niende kwa mkurugenzi na nikafika ila mazungumzo tuliyafanya na DEO na muafaka ni kuandika Barua niliopewa kua nimerudi. Je waalimu wenzangu nitarudishwa kwe Payroll au nitafukuzwa kabisa?au itakuaje wapendwa waaalimu!
Nimeripoti jana kwa DEO akadai nikaandike barua na isainiwe na Mkuu. Nikaenda kwa watu wa mishahara wakadai nimefutwa kwe Payroll.U
tumishi wakadai niende kwa mkurugenzi na nikafika ila mazungumzo tuliyafanya na DEO na muafaka ni kuandika Barua niliopewa kua nimerudi. Je waalimu wenzangu nitarudishwa kwe Payroll au nitafukuzwa kabisa?au itakuaje wapendwa waaalimu!