Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
walimu nchini kenya wameanza mgomo wao leo kushinikiza nyongeza ya mshahara kwa 300%,je walimu tanzania mbona kimya vp au mmesha tatuliwa matatizo yenu kimya kimya au mnaogopa kutekwa.
source tbccm.
Walimu wetu ni waoga sana,alaf isitoshe wengi wametoka familia za kimaskin hivyo kabla ya kugoma anafikiria akifukuzwa kaz itakuwaje ?
Pia nashaur,jaribu kuwawekea hii post kwenye jukwaa lao,yawezekana wakawa na majibu mazuri.
hivi kuna jukwaa la walimu?