Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawakubali Sana walimu wa Dar es salaamView attachment 2767309View attachment 2767310nyie ni watumishi wa umma mnaongozwa na miongozi ya kiutummishi siyo kundi furani likae chini lipange mipango yao nakuwaletea
sawa nyie ni walimu mmepewa semina yoyote elekezi ya kutimiza hili jambo
sawa nyie ni rasilimali watu je rasimali fedha zipo au kwakua ajira ni ngumu wanataka waburuza tu inauma sana na walimu hili jambo mtakaa kimya ila issue za mgao wa umeme DP WORLD mpo busy kujadili maslahi yenu mnaufyata
Hapa hata chama chenu kinaufyata sasa sijui kina watetea maslahi gani
Na nyie askari mnajua kupokea rushwa tuWalimu wanajua tu kutomba watoto hakuna kingine wanachoweza kukisimamia
Ndio dawa yake wala hakuna haja ya kubishana na dola hyo wakifika tu ni kufundishana mapiano tu ni mwendo wa chino Wana man[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama hakuna hela watarahie passive resistance!!
Blah blah zitapigwa na WATOTO watatoka BILA BILA!!
Safi sana hii kitu yakuigwaNawakubali Sana walimu wa Dar es salaam
Kuanzia primary Ni mwendo wa wanafunzi kwenda na pesa shuleni kwa ajili ya masomo ya ziada
Shule unakuta ina wanafunzi 2000+ halafu kila siku wanaenda
na 200 hadi 500 (jumamosi 1000 ya mitihani)
Hapo kwa kila siku mwalimu anatoka na overtime na hafundishi hiyo overtime
Walimu inabidi ifike hatua mukubali bora ifeli shule ila maisha yako yasifeli
Hakuna haja ya kuwaonea huruma wanafunzi Wala wazazi, ndio hao hao wanaowatukana kwenye mitandao ya kijamii na ndio kizazi kitachokuja kuwatukana kwenye mitandao hiyo miaka ya baadae
Sasa mje kutukanwa wakati mmeshawaecploit vya kutosha