Walimu: Rais Samia atatuponya madonda

Walimu: Rais Samia atatuponya madonda

Joined
Sep 17, 2021
Posts
39
Reaction score
84
Walimu wenzangu, tujipongeze kwa kuelimisha Taifa leo tunaposherehekea Siku ya Walimu.

Ndugu zangu, tuko na madonda mengi, mengi yakihusiana na Serikali yetu. Nani hajui kuhusu madeni tunayodai? Nani anajiweka nje ya ukweli kwamba sisis ni miongoni mwa wafanyakazi wa Tiafa hili ambao kwa miaka kadhaa hawajapandishiwa mishahara? Je tunapingana na suala la kwamba wapo wenzetu waliokuwa wametumikia nchi hii miaka mingi tu wakaja kujeruhiwa kwa kuondolewa kazini kwa kilichoitwa vyeti feki?

Tuna mengi hayajakamilika, lakini mimi na wezanngu hapa Kanda ya Ziwa tuna imani na Rais Samia Suluhu ya kwamba madonda haya yatafutwa.

Hadi sasa ametoa ajira kwa walimu wapya, na kabla huu mwaka haujasiaha TAMISEMI watapewa kibali kuongeza wengine 10,000.

Kama hamjasikia bado, nawajuza kuhusu nyumba 300 zilizojengwa katika kipindi kifu[pi cha Urais wa Samia, kila nyumba ikigharimu shilingi milioni 50.

Madaraja watu kibao wamepanda, programu za mafunzo kazini zinaendelea.

Tusishukuru kwa madeni ambayo tumeendelea kulipwa?

Kuna mdarasa 15,000 yatajengwa ili tusifundishie nje tena.

Sina Mashaka, mwakani ishaalah mishahara itapanda.

Nawatakia kazi njema katika kulijenga na kulielimisha Taifa.

b381ce6814f7d9e0caf563e1314ebc7a.jpg

 
Mkuu jitahidi kujiongeza na kupambana kitaa, ili hayo madonda yako yajiponee yenyewe!

Dunia ya leo kumsifia mtu kwa vitu vya kawaida kabisa ili tu aje akuponye madonda yako, ni kupoteza muda.
 
Ati CWT, mngejua wenzenu waliwatega akili wakailaza hiyo C kutoka kwenye kuwa wima kama ilivyo herufi E kwenye nembo ya DELL mngeachana na hicho chama.
 
Walimu wenzangu, tujipongeze kwa kuelimisha Taifa leo tunaposherehekea Siku ya Walimu.

Ndugu zangu, tuko na madonda mengi, mengi yakihusiana na Serikali yetu. Nani hajui kuhusu madeni tunayodai? Nani anajiweka nje ya ukweli kwamba sisis ni miongoni mwa wafanyakazi wa Tiafa hili ambao kwa miaka kadhaa hawajapandishiwa mishahara? Je tunapingana na suala la kwamba wapo wenzetu waliokuwa wametumikia nchi hii miaka mingi tu wakaja kujeruhiwa kwa kuondolewa kazini kwa kilichoitwa vyeti feki?

Tuna mengi hayajakamilika, lakini mimi na wezanngu hapa Kanda ya Ziwa tuna imani na Rais Samia Suluhu ya kwamba madonda haya yatafutwa.

Hadi sasa ametoa ajira kwa walimu wapya, na kabla huu mwaka haujasiaha TAMISEMI watapewa kibali kuongeza wengine 10,000.

Kama hamjasikia bado, nawajuza kuhusu nyumba 300 zilizojengwa katika kipindi kifu[pi cha Urais wa Samia, kila nyumba ikigharimu shilingi milioni 50.

Madaraja watu kibao wamepanda, programu za mafunzo kazini zinaendelea.

Tusishukuru kwa madeni ambayo tumeendelea kulipwa?

Kuna mdarasa 15,000 yatajengwa ili tusifundishie nje tena.

Sina Mashaka, mwakani ishaalah mishahara itapanda.

Nawatakia kazi njema katika kulijenga na kulielimisha Taifa.

Madonda hayo aliyasabisha nani? CDM?
 
CWT kuna wezi(katibu mkuu) et al hawajachukuliwa hatua zozote,Mkimfagilia SSH mnamnajisi tu,bora mkae kimya,mkisubiri hatma yenu
 
Walimu wenzangu, tujipongeze kwa kuelimisha Taifa leo tunaposherehekea Siku ya Walimu.

Ndugu zangu, tuko na madonda mengi, mengi yakihusiana na Serikali yetu. Nani hajui kuhusu madeni tunayodai? Nani anajiweka nje ya ukweli kwamba sisis ni miongoni mwa wafanyakazi wa Tiafa hili ambao kwa miaka kadhaa hawajapandishiwa mishahara? Je tunapingana na suala la kwamba wapo wenzetu waliokuwa wametumikia nchi hii miaka mingi tu wakaja kujeruhiwa kwa kuondolewa kazini kwa kilichoitwa vyeti feki?

Tuna mengi hayajakamilika, lakini mimi na wezanngu hapa Kanda ya Ziwa tuna imani na Rais Samia Suluhu ya kwamba madonda haya yatafutwa.

Hadi sasa ametoa ajira kwa walimu wapya, na kabla huu mwaka haujasiaha TAMISEMI watapewa kibali kuongeza wengine 10,000.

Kama hamjasikia bado, nawajuza kuhusu nyumba 300 zilizojengwa katika kipindi kifu[pi cha Urais wa Samia, kila nyumba ikigharimu shilingi milioni 50.

Madaraja watu kibao wamepanda, programu za mafunzo kazini zinaendelea.

Tusishukuru kwa madeni ambayo tumeendelea kulipwa?

Kuna mdarasa 15,000 yatajengwa ili tusifundishie nje tena.

Sina Mashaka, mwakani ishaalah mishahara itapanda.

Nawatakia kazi njema katika kulijenga na kulielimisha Taifa.

Hii ni AIBU kwa Taifa. Mkuu hakuna kazi ya kijinga na kipumbavu kama UALIMU hasa kwenye hizi Nchi za ulimwengu wa tatu.


WALIMU WENGI WAMERIDHIKA NA HALI ZAO KWA KUWA WOTE WANATOKA FAMILIA MASKINI MNOO ILA UALIMU SIO KAZI HATA KIDOGO.
 
UPUUZI MTUPU!

Walimu wenzangu, tujipongeze kwa kuelimisha Taifa leo tunaposherehekea Siku ya Walimu.

Ndugu zangu, tuko na madonda mengi, mengi yakihusiana na Serikali yetu. Nani hajui kuhusu madeni tunayodai? Nani anajiweka nje ya ukweli kwamba sisis ni miongoni mwa wafanyakazi wa Tiafa hili ambao kwa miaka kadhaa hawajapandishiwa mishahara? Je tunapingana na suala la kwamba wapo wenzetu waliokuwa wametumikia nchi hii miaka mingi tu wakaja kujeruhiwa kwa kuondolewa kazini kwa kilichoitwa vyeti feki?

Tuna mengi hayajakamilika, lakini mimi na wezanngu hapa Kanda ya Ziwa tuna imani na Rais Samia Suluhu ya kwamba madonda haya yatafutwa.

Hadi sasa ametoa ajira kwa walimu wapya, na kabla huu mwaka haujasiaha TAMISEMI watapewa kibali kuongeza wengine 10,000.

Kama hamjasikia bado, nawajuza kuhusu nyumba 300 zilizojengwa katika kipindi kifu[pi cha Urais wa Samia, kila nyumba ikigharimu shilingi milioni 50.

Madaraja watu kibao wamepanda, programu za mafunzo kazini zinaendelea.

Tusishukuru kwa madeni ambayo tumeendelea kulipwa?

Kuna mdarasa 15,000 yatajengwa ili tusifundishie nje tena.

Sina Mashaka, mwakani ishaalah mishahara itapanda.

Nawatakia kazi njema katika kulijenga na kulielimisha Taifa.

 
Walimu nafikiri nyie ni wasomi mnajua mambo, kumbe mnaongea siasa! Hii nchi haina kipato cha kuweza kuwafurahisha walimu, mko wengi kama mchwa katk nchi hii. Nyie ni zaidi ya robo tatu ya watumishi wote wa umma. Hebu niwafikirishe kwa wale walimu jina/wasiojua mambo. Serikali inachapisha hela yenyewe, unafikiri inashindwa nini kuchapa makaratasi kibao aka fedha na kuwapa walimu kila mtu anavyotaka? Inawezekana huko juu wakataka kuwalipa kama mnavyo piga siasa ukweli mchungu ni kwamba hakuna hela ya kuwalipa! Madai yenu yatadumu na kudumu2. Awamu zote walishindwa awamu hii ndiyo aweze? kwa sababu gani aweze. Walimu kuweni na ufahamu wa mambo basi mbona hata wakulima wenzangu haya mambo wanayajua vizuri!
 
Rais pekee alikuwa na huruma kwa watumishi wa umma tangu uhuru.
 
Back
Top Bottom