BHULULU
JF-Expert Member
- Jun 28, 2012
- 4,994
- 2,028
kila kitu mnalaumu serikali 😡 kuna watz kibao hawana ajira serikali inalishughulikia hilo,, bado miundombinu, maji, umeme n.k. wewe umepewa ajira unagoma bado serikali ilaumiwe kwa ww kutokufanya majukumu yako!? tatizo waalimu mnajiingiza kwenye siasa, mlishajibiwa mishahara yenu kuongezwa kwa 100% haiwezekani tatizo nn,, wakati gharama za masomo yenu ni cheap isitoshe mnapewa mkopo 100% na hadi division 3&4 za ajabu zinapewa nafasi
Jinga kabisa wewe bila mwalimu ungeandika hapa.