walimu sasa wameua nchi.


Jinga kabisa wewe bila mwalimu ungeandika hapa.
 
Jinga kabisa wewe bila mwalimu ungeandika hapa.

Tabia zako za Kikurya tumezichoka humu jamvin... domo la mjinga hutamka lolote na popote. kama umesoma hukuelimika usifuate mkumbooo wewe naniiii. jadil mada
 
Tabia zako za Kikurya tumezichoka humu jamvin... domo la mjinga hutamka lolote na popote. kama umesoma hukuelimika usifuate mkumbooo wewe naniiii. jadil mada

We,kaa kushoto hapa watu hawachezi kiduku,alichoandika hapo huyo bosi wako umekielewa au kiherehere tu!!Hapo kwenye red pana kufaa kabisa.
 
Wanaofanya ivo si walim wote tafadhali kuwa makini na ujue una fallacy of generalization
 

hivi wewe tumekwambia wawaajiri wenye shahada kuanzia awali sio razima waliofeli.
 
Acha tuuane wenyewe kwa sisi

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Kumbe unajua kinachotolewa ni mkopo na sio ruzuku, hizo division 3 na 4 kama unavyo dai ndo zimekufikisha hapo ulipo, na kama wangekuwa hawafai wasingepata nafasi hizo. Kwa hyo wewe unataka nani alaumuwe hapo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…