DOKEZO Walimu Sekondari ya Hassanal Damji Bagamoyo hoi bin taaban. Wanakaa chini ya miti, hawana vyoo

DOKEZO Walimu Sekondari ya Hassanal Damji Bagamoyo hoi bin taaban. Wanakaa chini ya miti, hawana vyoo

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Mtumishiwetu

Senior Member
Joined
Jul 13, 2022
Posts
196
Reaction score
346
Barua ya Wazi kwa Waziri wa TAMISEMI, Mhe Innocent Bashungwa

Sisi wananchi Bagamoyo ambao ni Wazazi wa wanafunzi wa Shule ya Sekondari Hassanal Damji iliyoko Bagamoyo tunayo masikitiko makubwa juu ya mazingira mabovu ya walimu wetu wanaofundisha kwenye shule hiyo ya Serikali.

Mazingira ya shule ni mabovu sana kwa walimu wetu kwani tunapozungunza sasa hivi walimu hawana ofisi yenye viti, meza, na shelf za kutunza nyaraka zao kwa muda mrefu.

Walimu wanakaa chini ya miti hivyo wanaposahihisha madaftari ya wanafunzi pia wanashindwa kuandaa masomo yao vizuri na kuifedhehesha taaluma ya ualimu ambayo ndio imekufikisha hapo ulipo Waziri wa Tamisemi Bashungwa na Waziri wa Elimu Prof Mkenda.

Walimu wetu hawana vyoo kwa sasa licha ya idadi kubwa ya Walimu lakini wana Matundu 3 tu Walimu wa kiume tundu 1 na walimu wa kike matundu 2 ya choo na kuwaletea usumbufu mkubwa sana walimu wetu.

Jambo la kusikitisha sana Serikali inaweza kujenga madarasa yenye hadhi kwa wanafunzi bila kuangalia ofisi za walimu zenye hadhi kulingana na taaluma zao.

Bahati mbaya sana Mbunge wetu tangu amechaguliwa hajawahi kufika Shuleni kujionea matatizo haya hivyo tumeona tuandike barua hii ili uweze kufika Shuleni na kujionea mwenyewe Mazingira ya shule yalivyo.

Wazazi tumelalamika sana kwa viongozi wetu wa Wilaya Madiwani, Mbunge wetu Mhe. Muharami Mkenge, Mkuu wa Wilaya, Zainab Issa juu ya Mazingira mabovu ya shule hii lakini hakuna hatua zozote zilizochukuliwa za kuwasaidia walimu wetu kuboreshewa mazingira licha ya kazi ngumu wanayofanya.

Tumeona tukuandikie barua ya wazi kwako Waziri wa TAMISEMI ili usaidie kuifikia shule yetu maana haiko mbali ukitoka Dar es Salaam Bagamoyo sio mbali ili ufike uone kwa macho yako walimu wanavyolalilika.

Tuna imani na wewe ni Waziri mchapakazi na tunaamini suala hili utalichukua kwa uzito mkubwa ili kuwasaidia walimu wetu wa Shule ya Sekondari Hassanal Damji iliyoko Bagamoyo Mkoa wa Pwa


Sisi Wazazi wa wanafunzi
Hassanal Damji Sekondari
Bagamoyo, Pwani
 
Barua ya Wazi kwa Waziri wa TAMISEMI, Mhe Innocent Bashungwa

Sisi wananchi Bagamoyo ambao ni Wazazi wa wanafunzi wa Shule ya Sekondari Hassanal Damji iliyoko Bagamoyo tunayo masikitiko makubwa juu ya mazingira mabovu ya walimu wetu wanaofundisha kwenye shule hiyo ya Serikali.

Mazingira ya shule ni mabovu sana kwa walimu wetu kwani tunapozungunza sasa hivi walimu hawana ofisi yenye viti, meza, na shelf za kutunza nyaraka zao kwa muda mrefu.

Walimu wanakaa chini ya miti hivyo wanaposahihisha madaftari ya wanafunzi pia wanashindwa kuandaa masomo yao vizuri na kuifedhehesha taaluma ya ualimu ambayo ndio imekufikisha hapo ulipo Waziri wa Tamisemi Bashungwa na Waziri wa Elimu Prof Mkenda.

Walimu wetu hawana vyoo kwa sasa licha ya idadi kubwa ya Walimu lakini wana Matundu 3 tu Walimu wa kiume tundu 1 na walimu wa kike matundu 2 ya choo na kuwaletea usumbufu mkubwa sana walimu wetu.

Jambo la kusikitisha sana Serikali inaweza kujenga madarasa yenye hadhi kwa wanafunzi bila kuangalia ofisi za walimu zenye hadhi kulingana na taaluma zao.

Bahati mbaya sana Mbunge wetu tangu amechaguliwa hajawahi kufika Shuleni kujionea matatizo haya hivyo tumeona tuandike barua hii ili uweze kufika Shuleni na kujionea mwenyewe Mazingira ya shule yalivyo.

Wazazi tumelalamika sana kwa viongozi wetu wa Wilaya Madiwani, Mbunge wetu Mhe. Muharami Mkenge, Mkuu wa Wilaya, Zainab Issa juu ya Mazingira mabovu ya shule hii lakini hakuna hatua zozote zilizochukuliwa za kuwasaidia walimu wetu kuboreshewa mazingira licha ya kazi ngumu wanayofanya.

Tumeona tukuandikie barua ya wazi kwako Waziri wa TAMISEMI ili usaidie kuifikia shule yetu maana haiko mbali ukitoka Dar es Salaam Bagamoyo sio mbali ili ufike uone kwa macho yako walimu wanavyolalilika.

Tuna imani na wewe ni Waziri mchapakazi na tunaamini suala hili utalichukua kwa uzito mkubwa ili kuwasaidia walimu wetu wa Shule ya Sekondari Hassanal Damji iliyoko Bagamoyo Mkoa wa Pwa


Sisi Wazazi wa wanafunzi
Hassanal Damji Sekondari
Bagamoyo, Pwani
Tuwekee na kapicha ili andiko litimie na Waziri aje na majibu!
 
Barua ya Wazi kwa Waziri wa TAMISEMI, Mhe Innocent Bashungwa

Sisi wananchi Bagamoyo ambao ni Wazazi wa wanafunzi wa Shule ya Sekondari Hassanal Damji iliyoko Bagamoyo tunayo masikitiko makubwa juu ya mazingira mabovu ya walimu wetu wanaofundisha kwenye shule hiyo ya Serikali.

Mazingira ya shule ni mabovu sana kwa walimu wetu kwani tunapozungunza sasa hivi walimu hawana ofisi yenye viti, meza, na shelf za kutunza nyaraka zao kwa muda mrefu.

Walimu wanakaa chini ya miti hivyo wanaposahihisha madaftari ya wanafunzi pia wanashindwa kuandaa masomo yao vizuri na kuifedhehesha taaluma ya ualimu ambayo ndio imekufikisha hapo ulipo Waziri wa Tamisemi Bashungwa na Waziri wa Elimu Prof Mkenda.

Walimu wetu hawana vyoo kwa sasa licha ya idadi kubwa ya Walimu lakini wana Matundu 3 tu Walimu wa kiume tundu 1 na walimu wa kike matundu 2 ya choo na kuwaletea usumbufu mkubwa sana walimu wetu.

Jambo la kusikitisha sana Serikali inaweza kujenga madarasa yenye hadhi kwa wanafunzi bila kuangalia ofisi za walimu zenye hadhi kulingana na taaluma zao.

Bahati mbaya sana Mbunge wetu tangu amechaguliwa hajawahi kufika Shuleni kujionea matatizo haya hivyo tumeona tuandike barua hii ili uweze kufika Shuleni na kujionea mwenyewe Mazingira ya shule yalivyo.

Wazazi tumelalamika sana kwa viongozi wetu wa Wilaya Madiwani, Mbunge wetu Mhe. Muharami Mkenge, Mkuu wa Wilaya, Zainab Issa juu ya Mazingira mabovu ya shule hii lakini hakuna hatua zozote zilizochukuliwa za kuwasaidia walimu wetu kuboreshewa mazingira licha ya kazi ngumu wanayofanya.

Tumeona tukuandikie barua ya wazi kwako Waziri wa TAMISEMI ili usaidie kuifikia shule yetu maana haiko mbali ukitoka Dar es Salaam Bagamoyo sio mbali ili ufike uone kwa macho yako walimu wanavyolalilika.

Tuna imani na wewe ni Waziri mchapakazi na tunaamini suala hili utalichukua kwa uzito mkubwa ili kuwasaidia walimu wetu wa Shule ya Sekondari Hassanal Damji iliyoko Bagamoyo Mkoa wa Pwa


Sisi Wazazi wa wanafunzi
Hassanal Damji Sekondari
Bagamoyo, Pwani
Waendelee kuwa na subira. Naibu waziru wa ardhi atasikia kilio chao. Tuendelee kutoa tozo kwa wingi tuijenge nchi yetu
 
Barua ya Wazi kwa Waziri wa TAMISEMI, Mhe Innocent Bashungwa

Sisi wananchi Bagamoyo ambao ni Wazazi wa wanafunzi wa Shule ya Sekondari Hassanal Damji iliyoko Bagamoyo tunayo masikitiko makubwa juu ya mazingira mabovu ya walimu wetu wanaofundisha kwenye shule hiyo ya Serikali.

Mazingira ya shule ni mabovu sana kwa walimu wetu kwani tunapozungunza sasa hivi walimu hawana ofisi yenye viti, meza, na shelf za kutunza nyaraka zao kwa muda mrefu.

Walimu wanakaa chini ya miti hivyo wanaposahihisha madaftari ya wanafunzi pia wanashindwa kuandaa masomo yao vizuri na kuifedhehesha taaluma ya ualimu ambayo ndio imekufikisha hapo ulipo Waziri wa Tamisemi Bashungwa na Waziri wa Elimu Prof Mkenda.

Walimu wetu hawana vyoo kwa sasa licha ya idadi kubwa ya Walimu lakini wana Matundu 3 tu Walimu wa kiume tundu 1 na walimu wa kike matundu 2 ya choo na kuwaletea usumbufu mkubwa sana walimu wetu.

Jambo la kusikitisha sana Serikali inaweza kujenga madarasa yenye hadhi kwa wanafunzi bila kuangalia ofisi za walimu zenye hadhi kulingana na taaluma zao.

Bahati mbaya sana Mbunge wetu tangu amechaguliwa hajawahi kufika Shuleni kujionea matatizo haya hivyo tumeona tuandike barua hii ili uweze kufika Shuleni na kujionea mwenyewe Mazingira ya shule yalivyo.

Wazazi tumelalamika sana kwa viongozi wetu wa Wilaya Madiwani, Mbunge wetu Mhe. Muharami Mkenge, Mkuu wa Wilaya, Zainab Issa juu ya Mazingira mabovu ya shule hii lakini hakuna hatua zozote zilizochukuliwa za kuwasaidia walimu wetu kuboreshewa mazingira licha ya kazi ngumu wanayofanya.

Tumeona tukuandikie barua ya wazi kwako Waziri wa TAMISEMI ili usaidie kuifikia shule yetu maana haiko mbali ukitoka Dar es Salaam Bagamoyo sio mbali ili ufike uone kwa macho yako walimu wanavyolalilika.

Tuna imani na wewe ni Waziri mchapakazi na tunaamini suala hili utalichukua kwa uzito mkubwa ili kuwasaidia walimu wetu wa Shule ya Sekondari Hassanal Damji iliyoko Bagamoyo Mkoa wa Pwa


Sisi Wazazi wa wanafunzi
Hassanal Damji Sekondari
Bagamoyo, Pwani
Bashungwa tafadhali fanya kawaisadie hawa Walimu ukiona hadi wazazi wameamua kuwatetea walimu wao ujue hali ni mbaya sana.
 
Siyo kweli kabisa, hakuna mzazi amewahi kumtetea mwl hata siku moja.Na wewe mwl uliendika hilo andiko kama unapata salary mambo mengine siyo lazimaaa sana.
 
Siyo kweli kabisa, hakuna mzazi amewahi kumtetea mwl hata siku moja.Na wewe mwl uliendika hilo andiko kama unapata salary mambo mengine siyo lazimaaa sana.
Nadhani ungezungumzia hoja iliyopo ya ukubwa wa tatizo kuliko kuwashutumu Wazazi, wazazi ni wazalendo ndio maana wanawatetea walimu wao, wameshasema sana hawasikilizwi ndio maana wakaona watumie jukwaa hili kumfikia Waziri wa TAMISEMI
 
V8 1 tu una maliza mambo yote na chenji inabaki

Ova
 
Vyoo na kukaa chini ya mti ni vitu viwili tofauti...
Mi Nadhan heading ibadilishwe,vyoo hakuna wanakunya chini ya mti
 
Barua ya Wazi kwa Waziri wa TAMISEMI, Mhe Innocent Bashungwa

Sisi wananchi Bagamoyo ambao ni Wazazi wa wanafunzi wa Shule ya Sekondari Hassanal Damji iliyoko Bagamoyo tunayo masikitiko makubwa juu ya mazingira mabovu ya walimu wetu wanaofundisha kwenye shule hiyo ya Serikali.

Mazingira ya shule ni mabovu sana kwa walimu wetu kwani tunapozungunza sasa hivi walimu hawana ofisi yenye viti, meza, na shelf za kutunza nyaraka zao kwa muda mrefu.

Walimu wanakaa chini ya miti hivyo wanaposahihisha madaftari ya wanafunzi pia wanashindwa kuandaa masomo yao vizuri na kuifedhehesha taaluma ya ualimu ambayo ndio imekufikisha hapo ulipo Waziri wa Tamisemi Bashungwa na Waziri wa Elimu Prof Mkenda.

Walimu wetu hawana vyoo kwa sasa licha ya idadi kubwa ya Walimu lakini wana Matundu 3 tu Walimu wa kiume tundu 1 na walimu wa kike matundu 2 ya choo na kuwaletea usumbufu mkubwa sana walimu wetu.

Jambo la kusikitisha sana Serikali inaweza kujenga madarasa yenye hadhi kwa wanafunzi bila kuangalia ofisi za walimu zenye hadhi kulingana na taaluma zao.

Bahati mbaya sana Mbunge wetu tangu amechaguliwa hajawahi kufika Shuleni kujionea matatizo haya hivyo tumeona tuandike barua hii ili uweze kufika Shuleni na kujionea mwenyewe Mazingira ya shule yalivyo.

Wazazi tumelalamika sana kwa viongozi wetu wa Wilaya Madiwani, Mbunge wetu Mhe. Muharami Mkenge, Mkuu wa Wilaya, Zainab Issa juu ya Mazingira mabovu ya shule hii lakini hakuna hatua zozote zilizochukuliwa za kuwasaidia walimu wetu kuboreshewa mazingira licha ya kazi ngumu wanayofanya.

Tumeona tukuandikie barua ya wazi kwako Waziri wa TAMISEMI ili usaidie kuifikia shule yetu maana haiko mbali ukitoka Dar es Salaam Bagamoyo sio mbali ili ufike uone kwa macho yako walimu wanavyolalilika.

Tuna imani na wewe ni Waziri mchapakazi na tunaamini suala hili utalichukua kwa uzito mkubwa ili kuwasaidia walimu wetu wa Shule ya Sekondari Hassanal Damji iliyoko Bagamoyo Mkoa wa Pwa


Sisi Wazazi wa wanafunzi
Hassanal Damji Sekondari
Bagamoyo, Pwani
Afisa elimu na DED wa huko wanasubiria maelekezo ya Waziri na Rais au?
 
Walimu kwenye nchi hii wanadhalilika sana kweli walimu wetu wanakaa chini ya miti? OR Tamisemi mko wapi?, Bashungwa uko wapi?
 
Barua ya Wazi kwa Waziri wa TAMISEMI, Mhe Innocent Bashungwa

Sisi wananchi Bagamoyo ambao ni Wazazi wa wanafunzi wa Shule ya Sekondari Hassanal Damji iliyoko Bagamoyo tunayo masikitiko makubwa juu ya mazingira mabovu ya walimu wetu wanaofundisha kwenye shule hiyo ya Serikali.

Mazingira ya shule ni mabovu sana kwa walimu wetu kwani tunapozungunza sasa hivi walimu hawana ofisi yenye viti, meza, na shelf za kutunza nyaraka zao kwa muda mrefu.

Walimu wanakaa chini ya miti hivyo wanaposahihisha madaftari ya wanafunzi pia wanashindwa kuandaa masomo yao vizuri na kuifedhehesha taaluma ya ualimu ambayo ndio imekufikisha hapo ulipo Waziri wa Tamisemi Bashungwa na Waziri wa Elimu Prof Mkenda.

Walimu wetu hawana vyoo kwa sasa licha ya idadi kubwa ya Walimu lakini wana Matundu 3 tu Walimu wa kiume tundu 1 na walimu wa kike matundu 2 ya choo na kuwaletea usumbufu mkubwa sana walimu wetu.

Jambo la kusikitisha sana Serikali inaweza kujenga madarasa yenye hadhi kwa wanafunzi bila kuangalia ofisi za walimu zenye hadhi kulingana na taaluma zao.

Bahati mbaya sana Mbunge wetu tangu amechaguliwa hajawahi kufika Shuleni kujionea matatizo haya hivyo tumeona tuandike barua hii ili uweze kufika Shuleni na kujionea mwenyewe Mazingira ya shule yalivyo.

Wazazi tumelalamika sana kwa viongozi wetu wa Wilaya Madiwani, Mbunge wetu Mhe. Muharami Mkenge, Mkuu wa Wilaya, Zainab Issa juu ya Mazingira mabovu ya shule hii lakini hakuna hatua zozote zilizochukuliwa za kuwasaidia walimu wetu kuboreshewa mazingira licha ya kazi ngumu wanayofanya.

Tumeona tukuandikie barua ya wazi kwako Waziri wa TAMISEMI ili usaidie kuifikia shule yetu maana haiko mbali ukitoka Dar es Salaam Bagamoyo sio mbali ili ufike uone kwa macho yako walimu wanavyolalilika.

Tuna imani na wewe ni Waziri mchapakazi na tunaamini suala hili utalichukua kwa uzito mkubwa ili kuwasaidia walimu wetu wa Shule ya Sekondari Hassanal Damji iliyoko Bagamoyo Mkoa wa Pwa


Sisi Wazazi wa wanafunzi
Hassanal Damji Sekondari
Bagamoyo, Pwani
mwenzako nilivyoona tu jina la shule nikajuwa ni shule binafsi tena ya kiislam kumbe ya serikali!.
 
Back
Top Bottom