DOKEZO Walimu Sekondari ya Hassanal Damji Bagamoyo hoi bin taaban. Wanakaa chini ya miti, hawana vyoo

DOKEZO Walimu Sekondari ya Hassanal Damji Bagamoyo hoi bin taaban. Wanakaa chini ya miti, hawana vyoo

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Afisa Elimu wa Bagamoyo anatia kinyaa.

Nilimuona Dodoma mara kadhaa arrogant kwelikweli, hana sifa ya kusimamia halmashauri inayofanya vizuri nchini
Labda tusubiri mkeka mpya wa Mama wa kuisuka upya Serikali anaweza kumla kichwa
 
Back
Top Bottom