Deogratius n
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 1,193
- 254
Wana presha na ajira......hawajui hatima yao.....
kiwastani watumgaji wa hz pepa hawafuati syllabi kabisa
bado kaka
.prac ya cemia Na physical end...
kivipi kiongozi? Pepa zilikuwa ngumu.
Hamna kk huku dp kuna ujinga wa kutofuata syllabus ktk utungaji wa mithan...pepa zilikua kawaida kwa mfano cl na foed zlkaza kidogo.