britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Aliitoa Mwenyekiti wa CCM siku ile Mbezi, wala sio Mimi.Hii comment wala hufai ww kuiandika....ni chafu
Mhhh....hayaAliitoa Mwenyekiti wa CCM siku ile Mbezi, wala sio Mimi.
Nimefuta ndugu MjumbeHii comment wala hufai ww kuiandika....ni chafu
Hapana mkuu kumbe ni qoute kama mkulu ndo alisema mm nimekosa nguv kbs baba ana mdomo mchafu yuleNimefuta ndugu Mjumbe
Ingia Youtube utafurahi majibu yake utadhani kakulia Kariakoo au Manzese au uzaramoniHapana mkuu kumbe ni qoute kama mkulu ndo alisema mm nimekosa nguv kbs baba ana mdomo mchafu yule
Ila na ww una moyo...mm hapana jamani ..hapana...siwezi...Ingia Youtube utafurahi majibu yake utadhani kakulia Kariakoo au Manzese au uzaramoni
Yule ni Mwenyekiti wetu ndio maana tunamuombea na ukumbuke kaongoza maombi ya siku tatu tu, corona kwish ahabari yake, sasa tungeongeza maombi ya mwezi mmoja tu si Tz ingegeuka kuwa kama Dubai? kwaheriIla na ww una moyo...mm hapana jamani ..hapana...siwezi...