Walimu Tarime wanajisaidia Guest House wakati serikali inanunua madege

Walimu Tarime wanajisaidia Guest House wakati serikali inanunua madege

Navyojua sio mpango wa serikali ya ccm waalimu kujisaidia kwenye vyoo vya gesti wala vyoo vya kueleweka, sio mpango kabisa.

Mpango wa serikali ya ccm ni waalimu kua wanajisaidia vichakani na sio kwenye vyoo vya kisasa.

Ukiona shule ina vyoo vya kisasa waalimu wanajisaidia basi inabidi washukuru sana, maana hao wanakua wamependelewa, wanastahili kua wanajisaidia vichakani sasa wakipewa vyoo vya kisasa hawana budi kushukuru sana.
Ukiona vyoo vizuri kwenye taasisi za serikali hasa shule na zahanati ujue ni mkono wa UNICEF
 
Baada ya kero hiyo kupatiwa ufumbuzi Fisi nao wameanza kufukua Makaburi na kula mizoga
 
Navyojua sio mpango wa serikali ya ccm waalimu kujisaidia kwenye vyoo vya gesti wala vyoo vya kueleweka, sio mpango kabisa.

Mpango wa serikali ya ccm ni waalimu kua wanajisaidia vichakani na sio kwenye vyoo vya kisasa.

Ukiona shule ina vyoo vya kisasa waalimu wanajisaidia basi inabidi washukuru sana, maana hao wanakua wamependelewa, wanastahili kua wanajisaidia vichakani sasa wakipewa vyoo vya kisasa hawana budi kushukuru sana.
Kila mahali vilio walimu kujisaidia porini! Siku mtu aking'atwa kalio tutajua kuna tatizo. Utajenga madarasa lakini vyoo na hata ofisi hawakumbuki !!
 
Hivi kweli mtu anakwenda kuzindua choo!!!!? Yamekosekana ya kufanya, vitu vingine ni aibu kuvisema

1615443787179.png
 
Namsikia mtu anasema Mbunge ameiwezesha shule kupanda hadhi
 
Back
Top Bottom