Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
π π π ..nimekutukanaYule ni Mwenyekiti wetu ndio maana tunamuombea na ukumbuke kaongoza maombi ya siku tatu tu, corona kwish ahabari yake, sasa tungeongeza maombi ya mwezi mmoja tu si Tz ingegeuka kuwa kama Dubai? kwaheri
Ukiona vyoo vizuri kwenye taasisi za serikali hasa shule na zahanati ujue ni mkono wa UNICEFNavyojua sio mpango wa serikali ya ccm waalimu kujisaidia kwenye vyoo vya gesti wala vyoo vya kueleweka, sio mpango kabisa.
Mpango wa serikali ya ccm ni waalimu kua wanajisaidia vichakani na sio kwenye vyoo vya kisasa.
Ukiona shule ina vyoo vya kisasa waalimu wanajisaidia basi inabidi washukuru sana, maana hao wanakua wamependelewa, wanastahili kua wanajisaidia vichakani sasa wakipewa vyoo vya kisasa hawana budi kushukuru sana.
Kila mahali vilio walimu kujisaidia porini! Siku mtu aking'atwa kalio tutajua kuna tatizo. Utajenga madarasa lakini vyoo na hata ofisi hawakumbuki !!Navyojua sio mpango wa serikali ya ccm waalimu kujisaidia kwenye vyoo vya gesti wala vyoo vya kueleweka, sio mpango kabisa.
Mpango wa serikali ya ccm ni waalimu kua wanajisaidia vichakani na sio kwenye vyoo vya kisasa.
Ukiona shule ina vyoo vya kisasa waalimu wanajisaidia basi inabidi washukuru sana, maana hao wanakua wamependelewa, wanastahili kua wanajisaidia vichakani sasa wakipewa vyoo vya kisasa hawana budi kushukuru sana.
Mkuu, kwa hivo ulitaka wakajisaidie kwene ndege?
Mkuu wa mkoa, Wilaya, mbunge tena wa CCm yupo ila hakuna linalokuwa...mitano tena