Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Hivi karibuni kumekua na ombwe la kuajiri walimu toka nchi jirani ya kenya katika shule binafsi kwa mantiki ya kufundisha lugha ya kingereza kwa ufasaha.
Shule hizi zimekua zikiwapa ajira walimu si tu kutoka kenya bali pia na Uganda.
Naona hatari ya kuwaachia wageni maamuzi ya nini cha kuwafundisha watoto wetu darasani, huu ndo mwanzo wa kuuua elimu tuliyokua nayo kipindi cha nyuma.
Sisi hatukusoma hizo shule binafsi wala kufundishwa na walimu toka kenya au uganda lakini bado tuiweza kuandika na kuongea lugha ya kingereza kwa ufasaha kabisa.
Serikali iangalie utaratibu huu unaoendelea bila hivyo kuna hatari inakuja na muda si mrefu tutakuja juta wakati tumechelewa.
Shule hizi zimekua zikiwapa ajira walimu si tu kutoka kenya bali pia na Uganda.
Naona hatari ya kuwaachia wageni maamuzi ya nini cha kuwafundisha watoto wetu darasani, huu ndo mwanzo wa kuuua elimu tuliyokua nayo kipindi cha nyuma.
Sisi hatukusoma hizo shule binafsi wala kufundishwa na walimu toka kenya au uganda lakini bado tuiweza kuandika na kuongea lugha ya kingereza kwa ufasaha kabisa.
Serikali iangalie utaratibu huu unaoendelea bila hivyo kuna hatari inakuja na muda si mrefu tutakuja juta wakati tumechelewa.