HACHOKI TALEMWA
Member
- Mar 4, 2013
- 93
- 9
- Thread starter
-
- #21
Vipi niambie umeshanunua Bahasha ngapi za kuombea kazi? na vp bado unasema walimu ni failues? nijibu mkuu!!wewe ulipata daraja la tano ukatumia cheti cha mwenzako aliyefaulu kusomea ualimu! hili halina ubishi kwa utumbo uliouandika hapa!
Mkuu, kama ni kweli uyasemayo, we ndo umeandika hii post hapa chini au kuna mtu alikuibia password yako?kwa taalifa yako nina dvn one ya point 7 PCM na nimesoma katika chuo kikuu cha sokoine(SUA) Bsce(INFORMATICS AND MATHEMATICS) sa ivi ni mwalimu wa shule kubwa inayozalisha dvn 1 kila mwaka usione term hii serikali imetufanyia udwanzi
Ilikuwa mwaka 2010 wakati wa campaign za kikwete,akasema walimu ni..............! sa ivi vanaosoma kozi zisizo za ualimu wanaona wao ndo walifaulu mitihani ya kidato cha 4 na 6! na hawajui kuwa wataenda kubebelea baasha wakiwa wanatafuta kaz! sa walimu tufanye ivi kwasasa tuna mtaji walau wa kuanzisha kakibanda katakako2fanya 2savave!!! tuache ualimu walau kwa mwaka mmoja tuone hao wanaojidai kama watatokea tena!!!!!!!!!!!! au walim mnasemaje
Unazidi kujidhalilisha mwalimu tokea SUA.Vipi niambie umeshanunua Bahasha ngapi za kuombea kazi? na vp bado unasema walimu ni failues? nijibu mkuu!!
Nko TABORA BOYS NAFUNDISHA MATHEMATICS V NA VI! VIPI WEWE UMEFIKIA WAPI NA BAHASHA?Hebu ngoja kwanza, we ni mwalimu wa shule gani?
Isije ikawa binti yangu anasoma shule unayofundisha..... itakula kwangu mazima. Nifanye mpango wa kumhamisha mapeeeema kabla hajaambukizwa sumu yako.
Kama we ndo mwalimu wa awamu hii, heri yetu tuliosoma enzi za Nyerere (RIP). Dammmmmmmmmmmnnnnnnnnnnn!!
mwalimu hapa ndo ulitaka kusemaje .. Sijakuelewa kabisaaaaa!
Sent from my blackberry 9300 using jamiiforums
Mkuu, kama ni kweli uyasemayo, we ndo umeandika hii post hapa chini au kuna mtu alikuibia password yako?
Kama ni wewe unaidhalilisha SUA!! Na ikawaje ukasoma SUA afu ukawa mwalimu? Matokeo SUA yalikuwaje? Au ndo tatizo la ajira?
Unazidi kujidhalilisha mwalimu tokea SUA.
umekalili eti SUA ni kilimo tu! kuna kozi nyigi sana, matokeo ya SUA nina 1'st class na GPA ya 4.3 we una division 4 ya ngapi katika mtihani wa kidato cha nne?Mkuu, kama ni kweli uyasemayo, we ndo umeandika hii post hapa chini au kuna mtu alikuibia password yako?
Kama ni wewe unaidhalilisha SUA!! Na ikawaje ukasoma SUA afu ukawa mwalimu? Matokeo SUA yalikuwaje? Au ndo tatizo la ajira?
Yaani kama wewe ni mwalimu sishangai tena kwa nini watoto 260,000 wamepata division 5.
Unaweza kuniambia DHALAU maana yake nini? What a foolish way of talking, eti sa ivi. Kichefuchefu!
Wewe unadharaulisha waalimu bana!
Poor mwalimu!!umekalili eti SUA ni kilimo tu! kuna kozi nyigi sana, matokeo ya SUA nina 1'st class na GPA ya 4.3 we una division 4 ya ngapi katika mtihani wa kidato cha nne?
This is too LOW!! Ngoja nisepe.Ndo nimeiandika we uliyoiandika iko wapi? unadhani mimi ntazunguka kama wewe kutafuta ajira! Tena natafutwa na mashule mengi kwasababu watata wa namba tuko wachache nchi hii! niambie we namba std 7 una ngapi make najua hata secondary hujaenda!! ooooh.....!
Hahahahaha..... Mwajiriwa wa Kikwete!! Poor you! Unataka ugome? JK si aliwaambia kama vipi poteeni mkatafute mishahara mnayoitaka mkafyata mkia?Nko TABORA BOYS NAFUNDISHA MATHEMATICS V NA VI! VIPI WEWE UMEFIKIA WAPI NA BAHASHA?
Hebu ngoja kwanza, we ni mwalimu wa shule gani?
Isije ikawa binti yangu anasoma shule unayofundisha..... itakula kwangu mazima. Nifanye mpango wa kumhamisha mapeeeema kabla hajaambukizwa sumu yako.
Kama we ndo mwalimu wa awamu hii, heri yetu tuliosoma enzi za Nyerere (RIP). Dammmmmmmmmmmnnnnnnnnnnn!!
HACHOKI TALEMWA waaambie hao wamejaa dharau kwa walimu wametoa photocopy vyeti hadi vimepauka afu bado wanaleta dharau kwa walimu kudadeki zao
Hahahahaha..... Mwajiriwa wa Kikwete!! Poor you! Unataka ugome? JK si aliwaambia kama vipi poteeni mkatafute mishahara mnayoitaka mkafyata mkia?
Bora mi nimesoma hesabu na ninaelewa kiswahili kidogo! sa wewe unaishi TANZANIA lakini kiswahili hujui! nini maana ya unadharaulisha?