luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
Kazi yoyote Ile hakuna mshahara unaotoshaBinafsi naona kazi ya ualimu,walimu wenyewe inabidi watumie nguvu kubwa kuhakikisha wanaotoboa tena sio kwa kutegemea mshahara labda wawe ni wako international skulz.
Mwalimu kutoboa inabidi awe na kakazi ka pembeni kanakomboost.