Walimu: Tunamshukuru Sophia Mjema ila...

Walimu: Tunamshukuru Sophia Mjema ila...

Equitable

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2021
Posts
2,017
Reaction score
5,462
Ni katika pitapita zangu mitaani nimekutana na waalimu wakisema "Hatimaye tumepewa vishikwambi tulivyoahidiwa na serikali". Wanasema bila Sophia Mjema katibu wa itikadi na uenezi wa chama cha mapinduzi (CCM) vilikuwa vimepigwa.

Tunamshukuru dada yetu Mjema. Ila

1. Waliotaka kuvipiga wachukuliwe hatua kali ikiwemo kuondolewa kwenye nafasi zao.
2. Vishikwambi vilikuwa vimetangazwa wazi kuwa walimu watapewa na vikafichwa. Je maslahi mangapi ya walimu yasiyo ya wazi kama vishikwambi yaliyofichwa?

Sasa walimu wamekuwa na imani na Chama ila serikali hawanayo imani.

Wafukuzeni matapeli wote wenye nia ovyo na Chama ili waalimu waendelee na imani kwa serikali.

Asante Mjema Mungu akubariki
 
Ni katika pitapita zangu mitaani nimekutana na waalimu wakisema "Hatimaye tumepewa vishikwambi tulivyoahidiwa na serikali". Wanasema bila Sophia Mjema katibu wa itikadi na uenezi wa chama cha mapinduzi (CCM) vilikuwa vimepigwa.

Tunamshukuru dada yetu Mjema. Ila

1. Waliotaka kuvipiga wachukuliwe hatua kali ikiwemo kuondolewa kwenye nafasi zao.
2. Vishikwambi vilikuwa vimetangazwa wazi kuwa walimu watapewa na vikafichwa. Je maslahi mangapi ya walimu yasiyo ya wazi kkama vishikwambi yaliyofichwa?

Sasa walimu wamekuwa na imani na Chama ila serikali hawanayo imani.

Wafukuzeni matapeli wote wenye nia ovyo na Chama ili waalimu waendelee na imani kwa serikali.

Asante Mjema Mungu akubariki
Wamepewa walimu wangapi Hapo shuleni kwako!!?? Mpewe wawili tena Kwa matumizi yenu ...Badala ya kupewa shule Kwa matumizi ya walimu wote na bado unasifu ...wenzenu Tayari wejaza candy crush na temple runner...
 
Mtafutiwe accessories zingine sasa ili vishikambwi hivyo vifanye kazi kama projector kwenye madarasa yenu yenye idadi kubwa ya wanafunzi.
 
Ni katika pitapita zangu mitaani nimekutana na waalimu wakisema "Hatimaye tumepewa vishikwambi tulivyoahidiwa na serikali". Wanasema bila Sophia Mjema katibu wa itikadi na uenezi wa chama cha mapinduzi (CCM) vilikuwa vimepigwa.

Tunamshukuru dada yetu Mjema. Ila

1. Waliotaka kuvipiga wachukuliwe hatua kali ikiwemo kuondolewa kwenye nafasi zao.
2. Vishikwambi vilikuwa vimetangazwa wazi kuwa walimu watapewa na vikafichwa. Je maslahi mangapi ya walimu yasiyo ya wazi kkama vishikwambi yaliyofichwa?

Sasa walimu wamekuwa na imani na Chama ila serikali hawanayo imani.

Wafukuzeni matapeli wote wenye nia ovyo na Chama ili waalimu waendelee na imani kwa serikali.

Asante Mjema Mungu akubariki
Sophia mjema,amekwenda kuvunja kufuli vilipokuwa vimefungiwa au?

Sophia Mjema kapewa ofisi juzi,sasa yeye na vishikwambi wapi na wapi?

Acheni uchawa wenu wa kipumvavu!
 
Unataka walimu washukuru Kwa vishkwambi vilivyoletwa na watu wale wale waliokuwa wameviiba?

Kwamba Shakza aliyehusika ndo ashiriki kuwagawia tena walimu akiwa DCC?

Tuache Propaganda uchwara!!! Walimu hawatowasamehe!!!!

IPO wapi nyongeza ya 23% Mliyowaahidi walimu na wakaambulia 2.3% tena Kwa dhihaka tele???
 

Attachments

  • Screenshot_20230127-133943.png
    Screenshot_20230127-133943.png
    34.1 KB · Views: 5
Ila akili za walimu bana, yani kwenu nyie vishkwambi ni big deal mpaka mnataka kuvigeuza kua mjadala wa kitaifa. Uelewa wenu mdogo ndio mtaji wa serikali ya CCM!
 
Jua unafuatiliwa, kukaa muda mrefu bila kugawiwa Kwa wahusika lazima utilie mashaka.
Karne hii taarifa za shule unatuma whatsapp ,email n.k huwezi kwepa mitandao ya kijamii ndugu yangu, huwezi kwepa internet inarahisisha mambo na kusave time...
 
Walimu wawe makini na vishkwambi, wakivitumia kisiasa watataabika sababu ni watumishi wa Serikali.😳😳
 
Ila akili za walimu bana, yani kwenu nyie vishkwambi ni big deal mpaka mnataka kuvigeuza kua mjadala wa kitaifa. Uelewa wenu mdogo ndio mtaji wa serikali ya CCM!
Walimu hatuna posho ndogo ndogo , ni hadi mwisho wa mwezi mkuu... Hii ni sehemu ya motisha kwa walimu na kuendana na matumizi ya Tehama
 
Kuna taarifa kuwa baada ya kuvitoa mafichoni sasa wanufaika wameandaliwa dozi nyingine ya MKATABA mwenye masharti makali utadhani wamepewa almasi. Mbaya zaidi baadhi ya sehemu viongozi wa wanufaika wamesema atakae hama anarudisha kishikwambi mara moja. Kwa hiyo waliopewa wajue sio mteremko km wanavyodhani. Wamepewa kitanzi. Ngoja wakishaanza kujaza hiyo mikataba ya makabidhiano ndo watujua vishikwambi hivyo ni moto
 
Walimu hatuna posho ndogo ndogo , ni hadi mwisho wa mwezi mkuu... Hii ni sehemu ya motisha kwa walimu na kuendana na matumizi ya Tehama
Mwalimu hicho kishikwambi sio mali Yako, vipi uneshajaza MKATABA. Wenzio wengine wanatamani kuvirudisha sababu ya masharti magumu km dawa ya kienyeji
 
Sophia mjema,amekwenda kuvunja kufuli vilipokuwa vimefungiwa au?

Sophia Mjema kapewa ofisi juzi,sasa yeye na vishikwambi wapi na wapi?

Acheni uchawa wenu wa kipumvavu!
Alitoa wiki moja viwe vimefika kwa walengwa. Agizo limetekelezwa na wezi waliotaka kuvipiga.

Ashukuriwe dada huyu.
 
Back
Top Bottom