Nafahamu hilo... Sio mali yangu Ni mali ya Nchi...Mwalimu hicho kishikwambi sio mali Yako, vipi uneshajaza MKATABA. Wenzio wengine wanatamani kuvirudisha sababu ya masharti magumu km dawa ya kienyeji
Tablet zenyewe za laki na nusu ndio zinawatoa watu imanKuna taarifa kuwa baada ya kuvitoa mafichoni sasa wanufaika wameandaliwa dozi nyingine ya MKATABA mwenye masharti makali utadhani wamepewa almasi. Mbaya zaidi baadhi ya sehemu viongozi wa wanufaika wamesema atakae hama anarudisha kishikwambi mara moja. Kwa hiyo waliopewa wajue sio mteremko km wanavyodhani. Wamepewa kitanzi. Ngoja wakishaanza kujaza hiyo mikataba ya makabidhiano ndo watujua vishikwambi hivyo ni moto
Mkuu, tufanye biashara basi!Kama simu tu...mi hutumia maranyingi kutafuta majibu ya maswali mbalimbali through Google na kupata baadhi ya notes kama ziada kwa somo husika.
Huyo Sophia Mjema ndiye mwenye kauli nzito na ya mwisho kumshinda Mama Samia? Kumshinda waziri Mkuu?Wamepewa wote kwa agizo la Sophia Mjema
Weka picha achana na manenoNi katika pitapita zangu mitaani nimekutana na waalimu wakisema "Hatimaye tumepewa vishikwambi tulivyoahidiwa na serikali". Wanasema bila Sophia Mjema katibu wa itikadi na uenezi wa chama cha mapinduzi (CCM) vilikuwa vimepigwa.
Tunamshukuru dada yetu Mjema. Ila
1. Waliotaka kuvipiga wachukuliwe hatua kali ikiwemo kuondolewa kwenye nafasi zao.
2. Vishikwambi vilikuwa vimetangazwa wazi kuwa walimu watapewa na vikafichwa. Je maslahi mangapi ya walimu yasiyo ya wazi kama vishikwambi yaliyofichwa?
Sasa walimu wamekuwa na imani na Chama ila serikali hawanayo imani.
Wafukuzeni matapeli wote wenye nia ovyo na Chama ili waalimu waendelee na imani kwa serikali.
Asante Mjema Mungu akubariki
Acha siasa na roho mbaya wewe.Kishikwambaya si ushapata? usilipe ubaya kwa ubaya.Ni katika pitapita zangu mitaani nimekutana na waalimu wakisema "Hatimaye tumepewa vishikwambi tulivyoahidiwa na serikali". Wanasema bila Sophia Mjema katibu wa itikadi na uenezi wa chama cha mapinduzi (CCM) vilikuwa vimepigwa.
Tunamshukuru dada yetu Mjema. Ila
1. Waliotaka kuvipiga wachukuliwe hatua kali ikiwemo kuondolewa kwenye nafasi zao.
2. Vishikwambi vilikuwa vimetangazwa wazi kuwa walimu watapewa na vikafichwa. Je maslahi mangapi ya walimu yasiyo ya wazi kama vishikwambi yaliyofichwa?
Sasa walimu wamekuwa na imani na Chama ila serikali hawanayo imani.
Wafukuzeni matapeli wote wenye nia ovyo na Chama ili waalimu waendelee na imani kwa serikali.
Asante Mjema Mungu akubariki
Kwa sababu sistahili kutumia?Mkuu, tufanye biashara basi!
Hilo la kusema kila mtoto apate A au B chini kabisa C sijui kama litatekelezwa kwani tool of assessment itaandaliwa na nani na kivipi !Ajabu kuanzia darasa la awali mpaka huko juu walimu wamejaza mkataba wenye the same content.Mwalimu wangu just relax yatapita tu hao siwitiii hawapo pale kwa ajili ya kumtetea mwalimuCwt nilichama la kipumbafu sana yaani walimu wakidhulumiwa viongozi hawawezi hata kutetea yaapo tuu yanakula michango ya walimu.
Mwalimu anasainishwa mkataba atoe kwa 100% ufaulu A,B mwisho C hii niakili timamu kweli??????
1. hatujaumbwa na sote kujaaliwa uwezo wa darasani!!
2. Mazingira sisawa kwa shule zoote na majumbani mwoote pia!!
3. Mwanafunzi kufaulu sisuala la mwalimu pekee viongozi wajinga hawawezi kujua!!
Nachukia Cwt kama nichukiavyo kande lililochacha...
AISEH!!!?Ni katika pitapita zangu mitaani nimekutana na waalimu wakisema "Hatimaye tumepewa vishikwambi tulivyoahidiwa na serikali". Wanasema bila Sophia Mjema katibu wa itikadi na uenezi wa chama cha mapinduzi (CCM) vilikuwa vimepigwa.
Tunamshukuru dada yetu Mjema. Ila
1. Waliotaka kuvipiga wachukuliwe hatua kali ikiwemo kuondolewa kwenye nafasi zao.
2. Vishikwambi vilikuwa vimetangazwa wazi kuwa walimu watapewa na vikafichwa. Je maslahi mangapi ya walimu yasiyo ya wazi kama vishikwambi yaliyofichwa?
Sasa walimu wamekuwa na imani na Chama ila serikali hawanayo imani.
Wafukuzeni matapeli wote wenye nia ovyo na Chama ili waalimu waendelee na imani kwa serikali.
Asante Mjema Mungu akubariki
walimu mara zote huwa wanaridhika na petty things na kusahau mambo muhimu ili waweze kutekeleza majukumu yao vizuri.wamekuwa kama watoto wachanga wanapolia hupewa nyonyo ili wanyamaze.Unataka walimu washukuru Kwa vishkwambi vilivyoletwa na watu wale wale waliokuwa wameviiba?
Kwamba Shakza aliyehusika ndo ashiriki kuwagawia tena walimu akiwa DCC?
Tuache Propaganda uchwara!!! Walimu hawatowasamehe!!!!
IPO wapi nyongeza ya 23% Mliyowaahidi walimu na wakaambulia 2.3% tena Kwa dhihaka tele???
Ni kweli walimu waikazanie serikali iwalipe malimbikizo ya mishahara ya tangu 2017 wala hakuna mtu yeyote aliye wizara ya utumishi au hazina anayejali . Hivyo vishikwambi wangeweza kuvinunua hata kwa mishahara yao mngewalipa na kuwaboreshea maslahi yaowalimu mara zote huwa wanaridhika na petty things na kusahau mambo muhimu ili waweze kutekeleza majukumu yao vizuri.wamekuwa kama watoto wachanga wanapolia hupewa nyonyo ili wanyamaze.