Mchukia unafiki
Member
- Mar 5, 2014
- 93
- 48
Ni unafiki wa hali ya juu kuuita ualimu wito katika karne hii, lazima tufike mahali ukweli uwekwe wazi hata kama unauma Ualimu ni taaluma na ndiyo maana zipo mada za sayansi ya ufundishaji na ujifunzaji "teaching pedagogy" leo waalimu wanalishwa sumu eti ualimu ni wito,hii ni zaidi ya kejeli mbona hawasemi siasa ni wito?
WITO "CALLING" Wanasiasa acheni upuuzi jaribuni kuwa wastaarabu hata kidogo juu ya hili maana hata na nyie mmepitia katika mikono ya waalimu.
Hakuna Mtanzania mjinga kiasi hicho leo hii, wabunge wanasinzia Dodoma, na kupewa sitting allowance, usafiri na mafuta ya gari plus ulinzi mwalimu anakomaa na chaki mnasema wito? ni yupi anayesomea taaluma ya kujitolea tu? Hata Yesu hakujitolea hivihivi tu alikufa msalabani kwa dhambi zetu ili tuokolewe na kwa maana hiyo neno "Wito"hapo halipo.
Mwalimu Nyerere aliwaainisha maadui wakuu watatu wa taifa hili na mmoja wapo huwa anaondolewa na walimu bora na si bora waalimu,wenye taaluma bora na sifa za ualimu na siyo "wito"kama mnavyodai ninaamini hakuna kitu kinachofanyika duniani bila maslahi yoyote yale "everything is value ladden"
Mwalimu kataa unafiki,kataa dharau kataa ualimu kudhalilishwa.
WITO "CALLING" Wanasiasa acheni upuuzi jaribuni kuwa wastaarabu hata kidogo juu ya hili maana hata na nyie mmepitia katika mikono ya waalimu.
Hakuna Mtanzania mjinga kiasi hicho leo hii, wabunge wanasinzia Dodoma, na kupewa sitting allowance, usafiri na mafuta ya gari plus ulinzi mwalimu anakomaa na chaki mnasema wito? ni yupi anayesomea taaluma ya kujitolea tu? Hata Yesu hakujitolea hivihivi tu alikufa msalabani kwa dhambi zetu ili tuokolewe na kwa maana hiyo neno "Wito"hapo halipo.
Mwalimu Nyerere aliwaainisha maadui wakuu watatu wa taifa hili na mmoja wapo huwa anaondolewa na walimu bora na si bora waalimu,wenye taaluma bora na sifa za ualimu na siyo "wito"kama mnavyodai ninaamini hakuna kitu kinachofanyika duniani bila maslahi yoyote yale "everything is value ladden"
Mwalimu kataa unafiki,kataa dharau kataa ualimu kudhalilishwa.