Walimu wa Grade A mnaoenda kuripoti

OIL CHAFU

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2012
Posts
996
Reaction score
773
Jamani hivi subsistence allowance ya walimu wa Grade A wanaoenda kuripoti tarehe moja ni Tsh ngapi kwa siku?
 
Noma kuiweka hadharani kwa kuwa kwa siku inaweza kulingana na ile wanayolipwa Wabunge wa BMK, yaani ***,000/= per day! Uliza kimyakimya Kaka!
 
acha kumfuatilia mdogo wako.yaani unamkaba hadi wataka kujua ni sh. ngapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…