Blue Bahari
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 1,851
- 2,171
Kote Shule za msingi na Sekondari walimu wengi wa kike ni wababaishaji.
NB: wapo walimu wa kike wachache ambao wanajitambua, wanajituma, wachapakazi....... Lakini wengi wao ni majanga Kwa Kweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
NB: wapo walimu wa kike wachache ambao wanajitambua, wanajituma, wachapakazi....... Lakini wengi wao ni majanga Kwa Kweli.
Sent using Jamii Forums mobile app