micind
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 377
- 980
"nimetafakari habari zako,nami nashindwa kuelewa kabisa,
Binadamu angenipa neema, kesho angechoka kunipa zaidi,
Lakini wewe hauna kikomo,wala mvua yako haina masika.
Bwanaaa wanyesha mvua, bwanaa kwa walio jangwani,
Bwanaaa wawasha jua,
Bwanaaa mpaka baharini,
bwana kweli wewe ni mwema sana.
Nitasiiiimulia nchi..Yesu Ni mwema Yesu Ni mwema.
Nitahuuubiri vijiji, Yesu ni mwema Yesu ni mwema."
Huu ni wa kizamani au wa kisasa wakuu?
Binadamu angenipa neema, kesho angechoka kunipa zaidi,
Lakini wewe hauna kikomo,wala mvua yako haina masika.
Bwanaaa wanyesha mvua, bwanaa kwa walio jangwani,
Bwanaaa wawasha jua,
Bwanaaa mpaka baharini,
bwana kweli wewe ni mwema sana.
Nitasiiiimulia nchi..Yesu Ni mwema Yesu Ni mwema.
Nitahuuubiri vijiji, Yesu ni mwema Yesu ni mwema."
Huu ni wa kizamani au wa kisasa wakuu?