Walimu wa kujitolea huajiriwa na nani?

vamda

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2012
Posts
895
Reaction score
571
Ndugu wana JF. Naomba kufahamu utaratibu wa kufuata ili kuwaajiri walimu wa kujitolea kwenye shule za sekondari. Je ni mkuu wa shule peke yake, bodi ya shule au walimu wote waliopo shuleni wanatakiwa kuhusishwa kwenye mchakato huo. Sheria na taratibu zinasemaje? Nawasilisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…