Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona anatafuta kuajiliwa badala ya kujiajiri akili imedumaa sanaSi mjiajiri aisee
mmesoma biashara na bado mnashindwa kujiajiri[emoji3062][emoji3062][emoji3062]
Kutafuta kuajiriwa sio kudumaa kiakili uliza Kwanza kwanini anashindwa kujiajiri do you think it's simple?akili imedumaa sana
Umemuon Anna makinda akakaa bungeni akawa spika akakusanya mabilioni Ila bado ameajiriwa. ONDOA dhana ya kujiajiri jamani hata kuajiriwa kwa taaluma yako nako si umejiajrii kwa maarifa yako Ni sawa na mwenye mtaji wake amejiajiri pia. Kuna mental capital and financial capital. Hizo zote Ni mitaji sema watu wanachanganya yaani watu wamekuwa brainwashed kwa hili suala.Si mjiajiri aisee
mmesoma biashara na bado mnashindwa kujiajiri🥵🥵🥵
Anna Makinda amejiajiri?Si mjiajiri aisee
mmesoma biashara na bado mnashindwa kujiajiri🥵🥵🥵