Crucifix
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 1,655
- 592
Nilipata elimu yangu ya sekondari kanda ya ziwa ambapo katika shule kadhaa masomo yaliyohusisha vipaji yalikuwa yakifundishwa. Masomo hayo ni pamoja na
Walimu wa masomo ya vipaji, wamekwenda wapi?
- Fine arts (Sengerema, Nyegezi)
- Cookery (Bwiru Girls, Bukumbi)
- Needle work (Bwiru Girls)
- Music (Nyegezi, Ihungo)
Walimu wa masomo ya vipaji, wamekwenda wapi?