Namche Bazar
Senior Member
- Apr 8, 2019
- 116
- 176
Nimeona sehemu hilo tangazo.
Vijana jobless changamkieni.
Kila la heri.
Vijana jobless changamkieni.
Kila la heri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😄 ai hauko jobless broh tuliaIvi day care hadi mwanaume unaomba huwa naona like ni nafas za mademu zaid..
Kazi ya maalumu ya mwanamke ni kubeba ujauzito na kujifungua tu.Ivi day care hadi mwanaume unaomba huwa naona like ni nafas za mademu zaid..
Wewe ni mwelewa zaidi..jipigie makofi.Inaonekana hiyo shule imeupgrade kutoka nursery kuwa primary ndio maana inahitaji mwalimu wa darasa la kwanza na la pili kwa sababu wale wa day care na nursery tayari wapo.
, halafu mnawasumbua UTUMISHI, wanawafanyisha usaili, mkipangiwa vituo vya kazi, hamtaki kwenda, wote mnataka mbaki DSM, acheni hizo aiseeh
AsanteWewe ni mwelewa zaidi..jipigie makofi.
Noo hata ningekuwa jobless siwez omba day Care...mm kucheza na vitoto siwez...😄 ai hauko jobless broh tulia
vitoto vyako nani atacheza navyo?Noo hata ningekuwa jobless siwez omba day Care...mm kucheza na vitoto siwez...
Na ndiyo maana hawakucheza na wewe🤒Noo hata ningekuwa jobless siwez omba day Care...mm kucheza na vitoto siwez...
et hataki kucheza na watotovitoto vyako nani atacheza navyo?
Kucheza na watoto ni raha na inaondoa kama sio kupunguza stress.....si ndo maana walimu hawazeeki.et hataki kucheza na watoto
sanaKucheza na watoto ni raha na inaondoa kama sio kupunguza stress.....si ndo maana walimu hawazeeki.
Walimu hawazeeki Ila hawana NuruKucheza na watoto ni raha na inaondoa kama sio kupunguza stress.....si ndo maana walimu hawazeeki.
Jamani nuru tena, tufanyeje sasa tuipate.....au ndo tutafute helaWalimu hawazeeki Ila hawana Nuru
🤗🤗🤗 wapunguze madeni tuJamani nuru tena, tufanyeje sasa tuipate.....au ndo tutafute hela
Noted with thanks 😹🤗🤗🤗 wapunguze madeni tu