Walimu wa primary kazi mnayo aisee

Walimu wa primary kazi mnayo aisee

Edsger wybe Dijkstra

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2019
Posts
244
Reaction score
491
Wadau niaje, mimi ni mwalimu wa sekondari wa hesabu na physics, sasa hapa katikati nilihamia mikoa ya kusini, ikabidi nianze upya process za kutafuta kazi.

Asee kwa kuwa maisha hayasubiri nikasema nisichague kazi , nilitonywa na mwana kuwepo kwa nafasi ya ualimu english medium shule moja maaarufu jijini mbeya. Si nikatimba kwenye written interview.
Ah we picha linaanza mtihani maswali ni ya kujumlisha , kuzidisha , sehemu, takwimu kidgo na geometry ( maumbo).


Nikapiga maswali yote chap chap baada ya dakika 15 nikatoka maticha ya primary yakabaki yanashangaa.
Aroo matokeo kutoka nimepata 45 ya 45 ila naambiwa sipewi kazi kwa kuwa sijaonyesha njia vizuri 😂😂😂😂


Yani kugawanya mpk uonyeshe unavyoteremsha kila namba , unavyoongeza zero baada ya desimali nk yani kila hatia uoneshe kwenye karatasi ya majibu .aaaah kama ualimu wa primary ndo ivo aisee kazi mnayo! Poleni Sijapata ona!!
 
Wadau niaje, mimi ni mwalimu wa sekondari wa hesabu na physics, sasa hapa katikati nilihamia mikoa ya kusini, ikabidi nianze upya process za kutafuta kazi. Asee kwa kuwa maisha hayasubiri nikasema nisichague kazi , nilitonywa na mwana kuwepo kwa nafasi ya ualimu english medium shule moja maaarufu jijini mbeya. Si nikatimba kwenye written interview.
Ah we picha linaanza mtihani maswali ni ya kujumlisha , kuzidisha , sehemu, takwimu kidgo na geometry ( maumbo).
Nikapiga maswali yote chap chap baada ya dakika 15 nikatoka maticha ya primary yakabaki yanashangaa.
Aroo matokeo kutoka nimepata 45 ya 45 ila naambiwa sipewi kazi kwa kuwa sijaonyesha njia vizuri 😂😂😂😂
Yani kugawanya mpk uonyeshe unavyoteremsha kila namba , unavyoongeza zero baada ya desimali nk yani kila hatia uoneshe kwenye karatasi ya majibu .aaaah kama ualimu wa primary ndo ivo aisee kazi mnayo! Poleni Sijapata ona!!
KWA KUBABAIKA KWAKO TU KUANZIA HAPA KWENYE UZI HATA MIMI NISINGEKUPA HIYO KAZ 😄 pole sana kiongoz kauze kahawa
 
Interview ilihusu umahiri wako katika kumuelekeza mwanafunzi namna ya kusolve hesabu sio ujuaji wako katika hesabu

Walikuwa sahihi kukunyima kazi
yeah ni kweli, kumbuka ni primary school, watoto ni wagumu kuelewa, hivo wanatafuta mwalimu anaeweza kufanya waelewe kwa hutua, sio final results, pole, hiyo ni primary not secondary
 
Wadau niaje, mimi ni mwalimu wa sekondari wa hesabu na physics, sasa hapa katikati nilihamia mikoa ya kusini, ikabidi nianze upya process za kutafuta kazi. Asee kwa kuwa maisha hayasubiri nikasema nisichague kazi , nilitonywa na mwana kuwepo kwa nafasi ya ualimu english medium shule moja maaarufu jijini mbeya. Si nikatimba kwenye written interview.
Ah we picha linaanza mtihani maswali ni ya kujumlisha , kuzidisha , sehemu, takwimu kidgo na geometry ( maumbo).
Nikapiga maswali yote chap chap baada ya dakika 15 nikatoka maticha ya primary yakabaki yanashangaa.
Aroo matokeo kutoka nimepata 45 ya 45 ila naambiwa sipewi kazi kwa kuwa sijaonyesha njia vizuri 😂😂😂😂
Yani kugawanya mpk uonyeshe unavyoteremsha kila namba , unavyoongeza zero baada ya desimali nk yani kila hatia uoneshe kwenye karatasi ya majibu .aaaah kama ualimu wa primary ndo ivo aisee kazi mnayo! Poleni Sijapata ona
 
Back
Top Bottom