Makuku Rey
JF-Expert Member
- Dec 31, 2013
- 3,497
- 3,823
Wacha udaku wewe! Asilimia chache ndo ipi? 90,80 ,20 ama? Alaaaaah.....
Kitengo gan uyo babako mdogo sio clearner kweli!muambie ajipange asiwe anaropoka afanye maandaliz mazur ya chai za mabos na wew si kila usikiacho kutoka kwa ding ako mdogo ukilete humu jukwaani-ila endlea kumsikiliza
Hvi na wewe ni mwalimu kweli?
Hvi na wewe ni mwalimu kweli?
Chanzo cha habari kutoka wizara kimedai kuwa si rahisi kwa serikali kutompatia ajira mwanafunzi aliyesomeshwa kwa pesa nyingi,ila yule aliyekuwa na %chache itakuwa ngumu kwa yeye kuajiriwa! SERIKALI INATAKA KURUDISHA FEDHA ZAKE ILZOTUMIA,ILI KURUDSHA NI LAZIMA IWAAJIRI ILIOWASOMESHA KULINGANA NA % ZAO. Source-baba mdogo(mfanyakaz wa wizara)
umeshafua nguo zako za shule leo ww?
Yeye ndo anahusika na soft copy na uchaguzi wa STUDENT TEACHERS, kama hamuamini 'let us wait and then time will tell' ALHAMISI SIO MBALI!
Na diploma hawataajiriwa eh?