Makuku Rey
JF-Expert Member
- Dec 31, 2013
- 3,497
- 3,823
Chanzo cha habari kutoka wizara kimedai kuwa si rahisi kwa serikali kutompatia ajira mwanafunzi aliyesomeshwa kwa pesa nyingi,ila yule aliyekuwa na %chache itakuwa ngumu kwa yeye kuajiriwa! SERIKALI INATAKA KURUDISHA FEDHA ZAKE ILZOTUMIA,ILI KURUDSHA NI LAZIMA IWAAJIRI ILIOWASOMESHA KULINGANA NA % ZAO.
Source-baba mdogo(mfanyakaz wa wizara)
Source-baba mdogo(mfanyakaz wa wizara)