Walimu wa shule ya msingi Lusisi wilayani Wanting'ombe wamenikera

Walimu wa shule ya msingi Lusisi wilayani Wanting'ombe wamenikera

Lwamadovela

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2019
Posts
324
Reaction score
235
Wadau corona ipo tuwe makini kwa kufuata maelekezo ya watalamu wa afya.

Nije kwenye Mada. Shule zimefunga tarehe 17 Machi kutokana na hali halisi kwamba watoto watulie home, nmeamua kuwapiga vipindi mwenyewe. Kabla ya hapo niliwataka wajisomee wenyewe. Nilipowataka walete daftari zao niwatengenezee maswali wananiambia daftari hawana eti ziko shuleni walikusanya. Sikustuka sana kwani hata huko nyuma weekend ukiwaomba daftari wanasema wamekusanya.

Leo nimeshangaa zote wamekusanya ikabidi nimpigie Mwalimu, Akakiri kuwa zipo shule. Ndo nikajiuliza kwa likizo hii watoto watajisomea nini!? Mwalimu namuliza kwanini wasiwagawie vile wanafunga, nilichojibiwa, nimekereka sana. [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]

Mzazi mwenzangu huko hali ikoje!? Au nawe maumivu ni haya haya!? Tupeane uzoefu
 
Waziri mkuu alitangaza kufunga shule jioni saa 10 wakati watoto walikuwa wameshaondoka mazingira ya shule.Hapakuwa tena na mda wa wanafunzi kurudi shuleni kufatilia madaftari.Unaweza kununua madaftari mengine na vitabu ukaendelea kuwafundisha wanao nyumbani.
Usiwalaumu walimu bila sababu ya msingi.
 
Kwa uandishi mbovu kama huu wa kwako ni heri tu hizo daftari waliziacha shule, ungewapotosha.
Anyway kwa kukusaidia tu nakushauri wanunulie vitabu watoto wako nunua na daftari za mazoezi na peni nyekundu, wape watoto wako mazoezi ya kutosha kutoka kwenye hivyo vitabu then wasahihishie warekebishe pale walipokosea
Wakati mwingine usipende sana kugombana/kubishana na watu tafuta njia nyingine ya kufanikisha jambo lako
 
Kama hali n ngumu Fanya hivi kama nikivyofanya mm

Nenda play store download app inaitwa THL huko kuna masomo ya shule. Za msingi had vyuo kwq shule za msingi wameandaa syllabus na notes za kila somo pamoja na maswal kama yupo darasa la mtihan bas kuna past papers hivyo hautojuta Mkuu

Unalipia 2000/= kwa mwez Fanya hvyo mzazi mwenzangu tuwasaidie watoto wetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama hali n ngumu Fanya hivi kama nikivyofanya mm

Nenda play store download app inaitwa THL huko kuna masomo ya shule. Za msingi had vyuo kwq shule za msingi wameandaa syllabus na notes za kila somo pamoja na maswal kama yupo darasa la mtihan bas kuna past papers hivyo hautojuta Mkuu

Unalipia 2000/= kwa mwez Fanya hvyo mzazi mwenzangu tuwasaidie watoto wetu

Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru sana mzazi. Umenipa madini adimu. Nisingekuja huku ningeyapata haya? 🙏🙏🙏🙏🙏
 
Wadau corona ipo tuwe makini kwa kufuata maelekezo ya watalamu wa afya.

Nije kwenye Mada. Shule zimefunga tarehe 17 Machi kutokana na hali halisi kwamba watoto watulie home, nmeamua kuwapiga vipindi mwenyewe. Kabla ya hapo niliwataka wajisomee wenyewe. Nilipowataka walete daftari zao niwatengenezee maswali wananiambia daftari hawana eti ziko shuleni walikusanya. Sikustuka sana kwani hata huko nyuma weekend ukiwaomba daftari wanasema wamekusanya.

Leo nimeshangaa zote wamekusanya ikabidi nimpigie Mwalimu, Akakiri kuwa zipo shule. Ndo nikajiuliza kwa likizo hii watoto watajisomea nini!? Mwalimu namuliza kwanini wasiwagawie vile wanafunga, nilichojibiwa, nimekereka sana. [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]

Mzazi mwenzangu huko hali ikoje!? Au nawe maumivu ni haya haya!? Tupeane uzoefu
Pumba
 
Wadau corona ipo tuwe makini kwa kufuata maelekezo ya watalamu wa afya.

Nije kwenye Mada. Shule zimefunga tarehe 17 Machi kutokana na hali halisi kwamba watoto watulie home, nmeamua kuwapiga vipindi mwenyewe. Kabla ya hapo niliwataka wajisomee wenyewe. Nilipowataka walete daftari zao niwatengenezee maswali wananiambia daftari hawana eti ziko shuleni walikusanya. Sikustuka sana kwani hata huko nyuma weekend ukiwaomba daftari wanasema wamekusanya.

Leo nimeshangaa zote wamekusanya ikabidi nimpigie Mwalimu, Akakiri kuwa zipo shule. Ndo nikajiuliza kwa likizo hii watoto watajisomea nini!? Mwalimu namuliza kwanini wasiwagawie vile wanafunga, nilichojibiwa, nimekereka sana. [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]

Mzazi mwenzangu huko hali ikoje!? Au nawe maumivu ni haya haya!? Tupeane uzoefu
Nimecheka aisee yaani unashindwa kufundisha content za primary mpaka ukopi kwenye madaftari??
 
Kama hali n ngumu Fanya hivi kama nikivyofanya mm

Nenda play store download app inaitwa THL huko kuna masomo ya shule. Za msingi had vyuo kwq shule za msingi wameandaa syllabus na notes za kila somo pamoja na maswal kama yupo darasa la mtihan bas kuna past papers hivyo hautojuta Mkuu

Unalipia 2000/= kwa mwez Fanya hvyo mzazi mwenzangu tuwasaidie watoto wetu

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pumbavu kabisa unataka kutumia daftar la shule kufanyia upambafu wako kama unaweza kanunue vitabu na madaftar mapya ndo ufanye upambafu wako
 
Wadau corona ipo tuwe makini kwa kufuata maelekezo ya watalamu wa afya.

Nije kwenye Mada. Shule zimefunga tarehe 17 Machi kutokana na hali halisi kwamba watoto watulie home, nmeamua kuwapiga vipindi mwenyewe. Kabla ya hapo niliwataka wajisomee wenyewe. Nilipowataka walete daftari zao niwatengenezee maswali wananiambia daftari hawana eti ziko shuleni walikusanya. Sikustuka sana kwani hata huko nyuma weekend ukiwaomba daftari wanasema wamekusanya.

Leo nimeshangaa zote wamekusanya ikabidi nimpigie Mwalimu, Akakiri kuwa zipo shule. Ndo nikajiuliza kwa likizo hii watoto watajisomea nini!? Mwalimu namuliza kwanini wasiwagawie vile wanafunga, nilichojibiwa, nimekereka sana. [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]

Mzazi mwenzangu huko hali ikoje!? Au nawe maumivu ni haya haya!? Tupeane uzoefu
Hii ni WANGING'OMBE ya Iringa? Kama siyo hiyo Wanting'ombe iko mkoa gani?
 
Back
Top Bottom