kujichoma sindano ni sawa na kula unga wa chaki.
-kurukiwa na damu=na kumwagikiwa na tindikali maabara wakat unaandaa practical
-kupigwa na kichaa=kupigwa na mwanafunz anaekula bange,,,,kila mtu ana riski zake.
-kufanya kazi kwa mwalimu kuna kikomo?????hakuna kikomo,maana mwalim wa boarding anapumzika LINI????
Wewe Una Akili sana!