Walimu wa Tanzania wako wapi? au wao wana maisha mazuri sana? Kenya wanakiwasha

Walimu wa Tanzania wako wapi? au wao wana maisha mazuri sana? Kenya wanakiwasha

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
KEnya Walimu huu unaweza kuwa ni mgomo wao wa pili ndani ya huu mwaka mmoja. Hawa wako serious sana na maisha yao hawako kwa ajili ya kufurahisha mtu.

Walimu Wakenya hawana muda wa kujikomba, kujipendekeza, na kumlamba Ruto miguu, hawa huwezi watoa Shuleni eti wakamshangilie Ruto uwanjani, haiwezekani kamwe.

Sasa njoo Bongo ambako Walimu ni kada Choka mbaya sana kuliko hata mchoma vitumbua, Ila wanashindana kumfurahisha Malikia na hata kushindana kumchangia pesa za fomu ya uraisi wakiamini kwamba hio ndio njia pekee ya wao kusikilizwa.

Hawa ni wana transfer ujinga na uzezeta, kweenda kwa watoto na ndio maana kuliko watoto wangu wafundishwe na hawa walimu bora wakae nyumbani tu.

Indusry ya kuzalisha wajinga wa hili Taifa iko shuleni chini ya walimu wajinga.

Na walimu wa nchi hii sio wa kuwatetea ni mara Bilion kutetea hata Paka wa mtaani kuliko kupoteza nguvu kuteteta walimu wa hili Taifa.
 
Hivi huwa ni kwanini tunajilinganisha na Kenya kwenye kila jambo?

Yaan hunu jukwaani hata Kenya wakijamba mtataka na sisi tujambe

Maisha yana radha yake kila mtu aishi kama anavyopenda sio lazima watu wa kundi A waishi kama Kundi B na kinyume chake

Kama unaona Kenya ni role modal wako hamia Kenya simple and clear!!
 
KEnya Walimu huu unaweza kuwa ni mgomo wao wa pili ndani ya huu mwaka mmoja. Hawa wako serious sana na maisha yao hawako kwa ajili ya kufurahisha mtu.
View attachment 3072049


Walimu Wakenya hawana muda wa kujikomba, kujipendekeza, na kumlamba Ruto miguu, hawa huwezi watoa Shuleni eti wakamshangilie Ruto uwanjani, haiwezekani kamwe.
View attachment 3072050


Sasa njoo Bongo ambako Walimu ni kada Choka mbaya sana kuliko hata mchoma vitumbua, Ila wanashindana kumfurahisha Malikia na hata kushindana kumchangia pesa za fomu ya uraisi wakiamini kwamba hio ndio njia pekee ya wao kusikilizwa.


Hawa ni wana transfer ujinga na uzezeta, kweenda kwa watoto na ndio maana kuliko watoto wangu wafundishwe na hawa walimu bora wakae nyumbani tu.

Indusry ya kuzalisha wajinga wa hili Taifa iko shuleni chini ya walimu wajinga.

Na walimu wa nchi hii sio wa kuwatetea ni mara Bilion kutetea hata Paka wa mtaani kuliko kupoteza nguvu kuteteta walimu wa hili Taifa.
Walimu wa Tanzania ni kundi la hovyo sana

Maslahi kiduchu lakini bado wanajikomba kwa viongozi ikiwemo kuchafua uchaguzi
 
Hivi huwa ni kwanini tunajilinganisha na Kenya kwenye kila jambo?

Yaan hunu jukwaani hata Kenya wakijamba mtataka na sisi tujambe

Maisha yana radha yake kila mtu aishi kama anavyopenda sio lazima watu wa kundi A waishi kama Kundi B na kinyume chake

Kama unaona Kenya ni role modal wako hamia Kenya simple and cleal!!
Kwa mtu mwenye akili lazima uige mwenye kujitambua.
 
KEnya Walimu huu unaweza kuwa ni mgomo wao wa pili ndani ya huu mwaka mmoja. Hawa wako serious sana na maisha yao hawako kwa ajili ya kufurahisha mtu.
View attachment 3072049


Walimu Wakenya hawana muda wa kujikomba, kujipendekeza, na kumlamba Ruto miguu, hawa huwezi watoa Shuleni eti wakamshangilie Ruto uwanjani, haiwezekani kamwe.
View attachment 3072050


Sasa njoo Bongo ambako Walimu ni kada Choka mbaya sana kuliko hata mchoma vitumbua, Ila wanashindana kumfurahisha Malikia na hata kushindana kumchangia pesa za fomu ya uraisi wakiamini kwamba hio ndio njia pekee ya wao kusikilizwa.


Hawa ni wana transfer ujinga na uzezeta, kweenda kwa watoto na ndio maana kuliko watoto wangu wafundishwe na hawa walimu bora wakae nyumbani tu.

Indusry ya kuzalisha wajinga wa hili Taifa iko shuleni chini ya walimu wajinga.

Na walimu wa nchi hii sio wa kuwatetea ni mara Bilion kutetea hata Paka wa mtaani kuliko kupoteza nguvu kuteteta walimu wa hili Taifa.
Kama ulifundishwa na walimu wa taifa hili kweli wali transfer ujinga kwako.Ni hayo tu
 
Hivi huwa ni kwanini tunajilinganisha na Kenya kwenye kila jambo?

Yaan hunu jukwaani hata Kenya wakijamba mtataka na sisi tujambe

Maisha yana radha yake kila mtu aishi kama anavyopenda sio lazima watu wa kundi A waishi kama Kundi B na kinyume chake

Kama unaona Kenya ni role modal wako hamia Kenya simple and cleal!!
Eeeh wewe Mtumwa myororo bado uko kiunoni UJINGA NI UGONJWA
 
Kimsingi walimu wa kibongo ni tawi la ccm.
Usitegemee ccm kugomewa na mojawapo ya jumuiya zake!
 
Ungeweza kuandika tu hoja yako bila kebehi na kejeli na bado ukaeleweka tu.
Wengine wazazi wetu waalimu na dhiki hizo unazozisema hatujawahi kuziona.
Hawa hawagomi kwa sababu means za kuishi wanazo,ila siku walishindwa kuishi utawaona wote barabarani.
Tuna hali tofauti sana ya Kimaisha na Kenya.
Watu wengi wanatamani Kila baya linalotokea Kenya basi na Tanzania litokee,haitawezekana.
Tanzania tuna Nafuu kubwa sana ya Maisha hasa kwenye Chakula,ambalo ni misingi wa Maisha ya Binadamu.
Kama unaipenda sana Kenya hujakatazwa kuhamia.
 
Waandamane au wagome Kwa lipi mama Samia ndani ya utawala wake wa miaka 3 walimu tumepanda madaraja mara mbili mfululizo, haijawahi tokea tangu Tanzania iitwe jamhuri,Mimi kama mwalimu nilipanda mwaka 2021,na mwaka huunn2024 nimepanda daraja/cheo.

Mikumi tena Kwa mama
 
Hata Gen Z ya Kenya ni level nyingine kabisa siyo kama hao Gen Z wa Tanzania ulionao hapo nyumbani kwako (wanao) ambao kuwepo kwao daniani ni hasara tupu.
 
Hakuna watumishi wa umma ambao ni useless na wapumbavu duniani kama hawana tulionao Tanzania hapa....!!

Hawa watumishi wetu wanachohitaji wao ni wapate boss ambaye hana muda wa kuwafuatilia mara kwa mara kwenye utendaji kazi wao au kwa maana nyingine kiongozi ambaye ataruhusu uzembe makazini basi, hapo watampenda kama nini na kumpa sifa zote unazojua wewe.

Hawa watumishi wetu wa umma wakiwemo walimu wala hata hawahitaji kuboreshewa maslahi yao maana kama ni shida wameshazizoea!
 
Back
Top Bottom